Wakuu, poleni na majukum.
Ninaomba mnisaidie, hivi pumba za ngano ua zinapatikana wapi? kuna mtu kaniambia nijaribu kwa Bakhresa, hivi ni kweli naweza kuzipata apo?
Kuna mtu ana contacts zozote na pale au pengine? kiufupi sihitaji nyingi kwasasa hata bei siijui ila kwa badae naweza kuziitaji. kuna rafiki yangu yuko Scotland, anazitaka kwa wingi ila kwa sasa nataka kilo moja nikisha ipata niipeleke TBS then baada ya apo nimtumie hiyo sample.
Akishaona vipimo vya TBS ndo ataweza kuweka oda ya tons. naomba anaye jua zilipo anisaidie please. asanteni
FELIX
Ninaomba mnisaidie, hivi pumba za ngano ua zinapatikana wapi? kuna mtu kaniambia nijaribu kwa Bakhresa, hivi ni kweli naweza kuzipata apo?
Kuna mtu ana contacts zozote na pale au pengine? kiufupi sihitaji nyingi kwasasa hata bei siijui ila kwa badae naweza kuziitaji. kuna rafiki yangu yuko Scotland, anazitaka kwa wingi ila kwa sasa nataka kilo moja nikisha ipata niipeleke TBS then baada ya apo nimtumie hiyo sample.
Akishaona vipimo vya TBS ndo ataweza kuweka oda ya tons. naomba anaye jua zilipo anisaidie please. asanteni
FELIX