Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wadau, Nitaji kupata kwa wingi na kwa bei ya jumla sabuni za magadi (pichani), kama unajua chimbo au unauza kwa bei nzuri naomba ni pm. Pia natafuta watu wenye ujuzi wa kutengeneza sabuni hizi.
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Nipigie kama unayo kwa namba 0627774377
0 Reactions
1 Replies
347 Views
Tumbo linahitaji Chakula ili uweze kuishi hivyo hivyo Ubongo unahitaji Chakula ili uweze kufikiria vyema. Imalisha afya yako ya Ubongo/Akili kwa kusoma vitabu vitakavyobadirisha maono yako...
2 Reactions
0 Replies
361 Views
Habari wana JF, kampuni yetu inawakaribisha nyote kununua bidhaa mbalimbali, 1. Viungo vya chai kama vile tea masala, mchaichai, mdalasini, chocolate tea, kahawa, iliki n.k. 2. Viungo vya chakula...
1 Reactions
0 Replies
612 Views
Habari wana JamiiForum, Humu ndani. Utangulizi Dalium Technology ni kampuni ya kitechnolojia changa iliyondwa na vijana wa kitanzania. Kampuni hii inajikita katika utoaji wa huduma za...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wandugu Nina ekari 100 pale vigwaza ninauza. Umbali Wa kutoka barabarani ni km 1 tu. Ninaweza kuuza hata kwa vipande vipande. Kama kuna MTU yupo interested anipigie 0676806077 tuongee.
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Shamba ekari 5 linauzwa milioni 3 lipo Vigwaza kilomita 9 kutoka barabarani. Kijiji kinaitwa Visezi zuri kwa ufugaji was mbuzi, kilimo. Maji ya bomba yapo kutoka halmashauri ya Bagamoyo. Kijiji...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Toyota ist Cc 1290 Mil 9.5 maongezi 0785 666 677 0739 888 488 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
111 Replies
28K Views
LIST ZA FREE GAMES TWAKUPATIA AFTER UNLOCK XBOX 360 PS3 PS VITA PSP ANGALIA VIDEO HAPO KWA KUELEWA ZAIDI PS4 NA XBOX ONE DOWNLOAD VIDEO HAPO CHINI...
0 Reactions
40 Replies
9K Views
Nyumba ni mpya kabisa hajakaa mtu, ina vyumba sita, sebule na fremu ya nje, ina fence, vyumba vitatu ni masters, inaweza ku accomodate familia mbili. Umeme maji ni uhakika, ipo barabarani...
0 Reactions
6 Replies
643 Views
Nahitaji mtu atayeniwekea Game za PC Call Of Duty Need For Speed GTA American Truck nk Anipe na Cost yake. Nipo DSM
0 Reactions
1 Replies
752 Views
Habari Ninatafuta toyota VITS ya kununua Mil 3.Mwenye nayo anipm,nipo Ifakara Mjini.
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Natafuta mtu wa kuniuzia mashati meupe mikono mifupi ya wanafunzi(pure cotton)Aina ya tomato) kwa Bei ya jumla nipo Kilombero,0652393263
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Kwa wakazi wa Dar ambao wanahitaji huduma zinazohusu ardhi au ushauri kuhusiana na maswala ya ardhi/majengo msisite kunitafuta. Ninatoa huduma zifuatazo: - Kufatilia zoezi la utoaji wa...
13 Reactions
53 Replies
5K Views
Ni Pm au mcheki huyu jamaa whatsapp. 0759522257 Pia kuna hizi softcopies. Kwa Tsh 2,000 hadi 4,000 utapata softcopies za vitabu hivi. Whatsapp namba 0759522257. Pia kuna bonasi ya vitabu kama...
2 Reactions
44 Replies
6K Views
Karibuni katika maonyesho ya nanenane Dodoma. Tuna matrekta aina ya Lovol kuanzia HP25-HP90 2wd/4wd Tunauza kwa mkopo na cash. Kwa mswali zaidi piga/tuma msg namba upewe maelekezo zaidi 0717217520
0 Reactions
3 Replies
655 Views
Kin'gamuzi Cha Startimes kinauzwa, kipo na antenna yake pamoja na waya wake, Bei TSH 40,000 napatikana Pugu Kigogo Fresh, DSM, Mawasiliano 0625579184 Sent from my Infinix X657 using JamiiForums...
0 Reactions
0 Replies
543 Views
Nahitaji kujua wanakopatikana samaki aina ya kibua au samaki wengine wa baharini mkoani Mwanza, daktari amependekeza nitumie mboga hiyo kuimarisha afya. Tafadhali kama unajua wanakopatikana...
3 Reactions
13 Replies
3K Views
Ondoka na hii Toyota Rumion 2007 ✅CC 1490 ✅2WD ✅Black Mettalic ✅ Automatic ✅Utumiaji wa Mafuta 16.2km/l ✅Bima bure(Third party) ✅BEI:17M Pamoja na usajili LIPA 5M Gari ikifika malizia ama lipa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nahitaji hicho kioo mwenye nacho njoo tuyajenge
0 Reactions
1 Replies
456 Views
Back
Top Bottom