Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Natoa huduma ya clearlence kwa mizigo,pamoja na magari kutoka duniani kote,kwa haraka na kwa bei rafiki kabisa kwa maelezo Zaidi tupigie: +255710323599 au +255679132109
0 Reactions
1 Replies
815 Views
Generator engine .
0 Reactions
0 Replies
389 Views
Nauza Printer Epson L805 imetumika mwaka mmoja tu. Inaprint sticker na picture vizuri na haibaguwi karatasi. Pia inaprint CD. Printer hii haina tatizo lolote kabisa. Inapatikana Mwanza Nyamagana...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Shamba lipo Dakika 10 kutoka Barabara kuu linafikika kwa Gari na Miguu Lipo opposite na Serikali za Mitaa za Fukayosi. Huduma za kijamii zipo Linafaa kwa Kilimo na Makazi. Bei ni 1,500,000...
2 Reactions
54 Replies
8K Views
Habari Wakuu, Nimesafiri Mbeya kikazi, Nina uchovu wa safari manake nimesafiri na private car. Hivi hapa Mbeya kuna sehemu naweza pata huduma ya massage yaani ile hot massage na mabinti warembo...
2 Reactions
14 Replies
4K Views
Shamba lipo fukayosi Bagamoyo.. lilikuwa la mananasi msimu uliopita na linatoa mananasi mazuri sana. Lipo Fukayosi Bagamoyo - km 10 kutoka Bagamoyo road, shamba lina heka 15. Document zote za...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Karibuni sana wakanda solutions| Tunadesign business card nzuri Kwa bei nafuu. 12,000/=Tsh kudesign business card yako nzuri itakayotofautisha biashara yako na ya watu wengine 25,000/= kuprint...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanajamii.Kwa yeyote anaye fahamu kama kuna shamba au pori linauzwa kati ya Kiwangwa na Msata anijulishe
0 Reactions
32 Replies
8K Views
Habari wadau,natafuta toyota vitz ya kununua ya mil 3.Mwenye nayo ani PM. Nipo Ifakara,Morogoro
0 Reactions
0 Replies
992 Views
Kama unahitaji kuku wa kienyeji wa nyama au wa kufuga basi, suluhisho liko hapa kwa Big Feed Store. Kuku wanaanzia 8,000/= hadi 30,000/= Wasiliana nasi kwa 0742870916. Karibuni sana.
0 Reactions
0 Replies
444 Views
Habari wana JF Naomba kujuzwa ni wapi na maeneo gani naweza kupata mabeli safi grade 1 ya mtumba. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Kama unahitaji home tuition kwa mwanao kwa masomo tajwa hapo juu basi upo mahali sahihi. Nakuja nyumban kwa maeneo yote ya Karibu na Kimara, Mbezi, Ubungo, Kawe mpka Tegeta na Bunju, Masaki...
1 Reactions
3 Replies
776 Views
Kununua nyumba ya uwekezaji linaweza kuwa jambo rahisi sana wakati ambapo una mtaji fedha wa kutosha kununua nyumba unayotaka. Lakini kuuza nyumba ambayo huitaki inachukua miezi mingi mpaka miaka...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari, Nauza kiwanja Cheney hati miliki kipo kibaha picha ya ndege km 2 kutoka barabara kuu na kiwanja kipo barabarani kabisa . Ukubwa 1026 sqm, bei 12,000/= per sqm na huduma za jamii zote zipo...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari zenu wapendwa? Naombeni msaada, mimi ni mfugaji wa Kuku wa nyama namshukuru Mungu najitahidi na napata matokeo mazuri Kuku ni wakubwa wanaridhisha, Tatizo langu ni kupata soko zuri/wateja...
1 Reactions
43 Replies
16K Views
Habari wana jamii forum [emoji830]︎Je hapo ulipo ni kiasi gani unaathirika uwepo wa maji na unatafuta njia bora ya kupata maji mengi ili uweze kutumia kwenye matumizi ya shambani na nyumbani...
0 Reactions
2 Replies
662 Views
Karibu tuongee. Jiunge na mjadala wa kuendesha biashara yako kwa mfumo wa digital kupitia smartphone yako kiganjani. Sisi hapa tunatoa application ya simu inayosaidia wafanyabiashara kutunza...
0 Reactions
0 Replies
830 Views
Bei: 160000 Location: Chanika kwazoo Lipo katika hali nzuri 0787969674
0 Reactions
0 Replies
950 Views
Huna haja ya kuwaza umeme kukatika kwani saan agency tumekuja na suluhisho kwaajili yako. Tutakufungi backup system nyumbani au ofisini kwako kwa teknolojia Bora na salama Unaweza ukajiuliza...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
MNYAKI NATURE CIVIL WORKS ni wataamu wa kufanya finishing iliyo Bora na kwa bei nafuu. Kazi zetu ni; 1. GYPSUM DESIGNS Hapa unafanyiwa kila aina ya Dari na kukufanya ufurahie chaguo lako 2...
4 Reactions
27 Replies
2K Views
Back
Top Bottom