Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wadau, Je, local disk ya computer ama laptop yako imejaa na hujui unaiongezaje ukubwa? Umejaribu ku-shrink disk ya karibu lakini huwezi kuongeza unallocated space katika C drive yako...
1 Reactions
2 Replies
697 Views
Kiwanja kinauzwa Tegeta A. Square meter 400. Bei ni shs 15m. Kuna matofali mengi tu kama bonasi. PM au email tajirika@gmail.com. Mhusika mimi kwa hiyo hakuna udalali.
1 Reactions
6 Replies
978 Views
Mimi nipo Mwananyamala kibiashara nafkiria kutafuta kiwanja maeneo ya Tegeta au karibu na Tegeta ili nifanye makazi lakini sijawahi kufika nasikia tu Tegeta... na nimeangalia kwenye google map...
4 Reactions
6 Replies
1K Views
Subwoofer yenye Amplifier ndani -Watts 1000 Mdundo Kama Wote[emoji344] Kwa ajili ya Gari[emoji593] lako au Bajaji Zinapatikana kwa Jumla na Rejareja Bei 90,000/= Tupo Kariakoo-Dar es Salaam...
2 Reactions
20 Replies
6K Views
Kindly find the attached company profile and of our cleaning company. Our company was founded on the principle of warm, friendly and efficient service. Our staff knows how to get the job done and...
0 Reactions
0 Replies
462 Views
Tunatoa huduma za usafi majumbani, ofisini kwa weledi mkubwa sana. Pia tunauza dawa za kukusaidia kwenye usafi wa masofa, tiles, vyombo kwa Bei nzuri kabisaa. Uaminifu na weledi ndio msingi mkuu...
0 Reactions
0 Replies
414 Views
Hello fellas. Kuna fursa ya biashara ya playstations/games Watu wengi wamekuwa wakiuziwa games kwa bei ghali sana pia wakiuziwa mashine ambazo sio imara. Kuna mahali Kariakoo wanauza games kwa...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Kiwanja Fumagila Kishili Jijini Mwanza Bei: Laki 6 tu punguzo hakuna Size: hatua 18 kwa 16 za miguu Mawasiliano: 0713096076 Kiko karibu na barabara kuu ya Kishili-Nyanama-Fumagila-Bujingwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Sony Playstation 3 inauzwa. Imetumika kwa muda wa miezi minne tu. ->HAINA TATIZO(KIPENGELE) chochote ->Imechipiwa na ina game zaidi ya 6 ndani. ->Nakupa na padi mbili, waya wa kuchajia padi na...
1 Reactions
5 Replies
846 Views
Sisi tunaitwa Madrassatul Abraar, tupo mtaa wa vitendo, kata ya Misugusugu, mkoa wa Pwani, namba zetu za simu 0625249605. Kituo kinaitwa "Miyomboni Shule" au Misugusugu Shule ya Msingi. Fursa za...
3 Reactions
14 Replies
4K Views
  • Closed
Jengo la ghorofa 2 na nyumba ya chini zote zinauzwa Kijitonyama Ghorofa Lina vyumba 6 ambavyo ni master vyote Nyumba ya chini ina vyumba 3, kimoja master, jiko, sitting room na public toilet. Plot...
7 Reactions
21 Replies
4K Views
Habari wakuu.! Natengeneza vitanda vya kisasa vya sofa kwa bei nafuu, nipo Zanzibar. 4/6 bei laki tatu na nusu 5/6 bei laki nne. 6/6 bei laki tano ukihitaji nicheki 0679478758 au 0624078758
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Unawezaje kufungua Mdomo wako na kusema umenunua SAMSUNG SMART TV nchi 60 kwa Tsh 2,500,000? Kitu ambacho Massawe alinunua kwa Tsh 1,700,000 kutoka kwa Infopreneur . Huu mzigo Tayari upo ofisini...
1 Reactions
4 Replies
977 Views
My fellow jf bado nipo naendelea na mchakato wangu wa kuuza au kupunguza baadhi ya assets zangu ili nipate kuongezea mtaji wangu ulioyumba tangu mwaka huu uanze uchumi kwangu ume collapse kabisa...
0 Reactions
2 Replies
846 Views
Msaada tutani, Habari, nahitaji kigari Cha biashara (Uber, tax ) kwa bei elekezi tu ya mtanzania, bei 4M-6M likiwa mwanza itapendeza zaidi. Kama Kuna mwenye nacho au anaefahamu mahali naweza pata...
1 Reactions
3 Replies
612 Views
Nauza kiwanja Kibamba shule, karibu na Hondogo sekondari ukubwa wa eneo 35m x 15m liko vizuri sana bei 10,000,000 mawasiliano 0787503677 or 0656403680
1 Reactions
4 Replies
1K Views
SAMSUNG A72 📱 Storage 128 GB|8GB ⚙️ Dual sim ✅ Battery 5000mAh Display 6.7” Black ⚫️ Tsh 850,000/= From Muscat Oman Inamiezi 6 tu . Haiba shida yoyote 0715160365 📞
1 Reactions
0 Replies
552 Views
Eneo linauzwa lenye ukubwa wa heka moja linauzwa lipo kitanga wilaya ya kisarawe lina mabanda ya kufugia mifugo mbalimbali kama [emoji230] ng'ombe, [emoji238] mbuzi, kuku [emoji215] bata na kuna...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari Wakuu, naomba nisaidiwe wapi nitapata kamba za Katani kwa uwingi na bei ya jumla.. Najua zinapatikana kwenye hardwares lakini mimi mahitaji yangu ni makubwa hivyo ningependa kuzinunua...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
[emoji95]JE WAJUA? Nguvu ya laki 8 tu,unamiliki kiwanja chenye ukubwa wa futi 50*40 viwanja vipo tambarare kabisa na vina barabara za mitaa. [emoji3534]Tupo Vikindu na Vianzi [emoji95](Ukubwa...
0 Reactions
3 Replies
592 Views
Back
Top Bottom