Habari zenu wapendwa?
Naombeni msaada, mimi ni mfugaji wa Kuku wa nyama namshukuru Mungu najitahidi na napata matokeo mazuri Kuku ni wakubwa wanaridhisha,
Tatizo langu ni kupata soko zuri/wateja Naombeni msaada wenu ktk mbinu au njia nzuri yakupata wateja nakum maintain uyo mteja nisimpoteze. [emoji239]
Naombeni msaada, mimi ni mfugaji wa Kuku wa nyama namshukuru Mungu najitahidi na napata matokeo mazuri Kuku ni wakubwa wanaridhisha,
Tatizo langu ni kupata soko zuri/wateja Naombeni msaada wenu ktk mbinu au njia nzuri yakupata wateja nakum maintain uyo mteja nisimpoteze. [emoji239]