Hapana sema ni kukutaadharisha usijetapeliwaNipe maelezo kama una sehemu
Ni shamba au pori mkuu!? Bei ni kiasi gani kwa eka?Ukikosa! kwa morogoro maeneo ya mzumbe kuna heka 30
Msata naweza kukunganisha na mtu na ukapata shamba.nasi tunalo hukoWanajamii.Kwa yeyote anaye fahamu kama kuna shamba au pori linauzwa kati ya Kiwangwa na Msata anijulishe
Sawa.je makampuni ganiKuna Mashamba huwa yanauzwa na makampuni haya huwa ni Salama japo bei huwa juu pia uruhusu kulipia kwa awamu hata zaidi ya mwaka.Unaweza jaribu hayo,au nenda eneo husika kutana na wakazi wa kule waelezee shida yako,watakuonyesha mashamba ukiridhika,rudi kinyume nyume siku nyingine kuwapeleleza tena uhalali au uaminifu wa waliokupeleka na umiliki halali wa maeneo hayo.
Ni shamba! heka moja ni laki 8 zipo heka 30.Ni shamba au pori mkuu!? Bei ni kiasi gani kwa eka?
UKUBWA GANI MAHITAJI YAKO? VP MAENEO YA MANDELA YATAKUFAA?Wanajamii.Kwa yeyote anaye fahamu kama kuna shamba au pori linauzwa kati ya Kiwangwa na Msata anijulishe