mussa warioba
Member
- Aug 1, 2017
- 8
- 4
Habari, Nauza kiwanja Cheney hati miliki kipo kibaha picha ya ndege km 2 kutoka barabara kuu na kiwanja kipo barabarani kabisa . Ukubwa 1026 sqm, bei 12,000/= per sqm na huduma za jamii zote zipo 0759-880063
Bei za awamu ya 4 zimeanza kurudi kwa kasi
Kiwanja chenyewe ni kipi hapo?Habari, Nauza kiwanja Cheney hati miliki kipo kibaha picha ya ndege km 2 kutoka barabara kuu na kiwanja kipo barabarani kabisa . Ukubwa 1026 sqm, bei 12,000/= per sqm na huduma za jamii zote zipo View attachment 2305620
View attachment 2305622
View attachment 2305624
Kiwanja chenyewe ni kipi hapo?
Sasa jamaa kwani ukisema unauza kiwanja kwa shilingi kadhaa utapata shida gani, kwanini utangaze bei kwa square meter wakati kiwanja chenyewe kiko kimoja tu hapo? Si utaje bei ya kiwanja kama kilivyo.
Wenzako wanatangazaga bei kwa square meters sababu viwanja vinakuwaga vingi in a batch!
Karekebishe sasa uzi huo nije kusoma tena nijiskie vizuri then niweze kukutafuta.Umeeleweka