Habari ya jioni wakuu. Ninaulizia ofisi tajwa hapo juu kama kuna ambaye ana taarifa zao ama alishawahi kuwatumia.
Wanadai kuwa guwa wanafanya usafirishaji wa vifurushi kayi ya Dubai na Dar es...
Ndugu yangu natafuta camera nzuri Used yenye uwezo wa still picture Kali niingie nayo vijiweni tayari nina mashine ya picture nzuri EPSON L850 Naomba Pia ushauri wa Camera hizo nitashukuru Sana...
ANAITAJIKA MCHOMA MBUZI NA MISHIKAKI MWENYE UZOEFU MZURI, KWAAJIRI YA BIASHARA BUNJU B. MARIPO NI TZS 5,000 KWA SIKU NA BONUS YA KILA MWEZI KUTOKANA NA MAUZO NA UBORA WA KAZI. KAMA UKO SAFI NA...
Karibu dukani kwetu;Tunauza Urembo aina mbalimbali kwa kina dada na wanawake kwa ujumla;
NB:-Vito havichuniki wala kupauka! Unaweza kuthibitisha kabla ya kulipa;Dar ni free Delivery na mikoan...
Phytodefence ni bidhaa ya Afya yenye bidhaa aina 3 ndani yake ⤵⤵⤵
1.Carotenoid complex.
🌠Huongeza kinga ya mwili kwa 37% kwa ikitumika ndani ya siku 20
🌠Huondoa vimelea vyote vya saratani...
Habari wakuu
Nina shida na vifaa kwa ajili ya kukaangia chipsi, kama jiko, kabati la aluminium, karai , viti nk
Au mwenye chochote kati ya hivyo hapo juu aje tuongee biashara
Nipo dar es salaam...
Habari,
Kwa yoyote anayehitaji hii machine, naiuza, ni yangu, nimeitumia kwa miezi miwili tuu, ni nzima kabisa, nauza kwa sababu nimekosa muda wa kusimamia, machine ipo Morogoro.
Bei ni...
Nyumba inauzwa (lakini ni muhimu zaidi ukiwa unanunua kama kiwanja ukubwa wa eneo 20 kwa 25 sqr 450. Umbali kutoka manzese tiptop stand ni km 1. Kwa unayeijua Manzese hii sehemu ni potential...
Naamin huu uzi unaweza usiwe wa kwanza kwako juu ya ujuzi wa kufungua
Kampuni na umekua ukipata ujuzi kutoka kwa watu mbalimbali
Lakin ngoja nikuulize swali “unahisi bado kuna kipande cha ujuzi...
Karibuni mjipatie Shamba la eka saba kwa bei nafuu ya shilingi milioni 25. Shamba liko umbalinwa kilomita mbili na nusu kutoka barabara ya lami ya Dqr Morogoro. Shamba linafaa kwa ufugaji wa kuku...
Habari.
Kuna Gunia 200 za alizeti ziko sokoni kwa anayehitaji. Shehena iko Kongwa Dodoma
Pia wafugaji mnakaribishwa mjipatie Mashudu.
Tupigie +255-767-11-222-1
WhatsApp Открыть WhatsApp
Twitter...
OMEGA 3 SALMON FISH OIL ni mafuta Bora ya samaki yenye familia zote 8.
Yanasaidia wenye changamoto za :
✍️Presha za kupanda na kushuka
✍️Matatizo ya moyo
✍️Matatizo ya macho
✍️Aleji
✍️Matatizo ya...
Phytodefence ni bidhaa ya Afya yenye bidhaa aina 3 ndani yake ⤵⤵⤵
1.Carotenoid complex.
🌠Huongeza kinga ya mwili kwa 37% kwa ikitumika ndani ya siku 20
🌠Huondoa vimelea vyote vya saratani...
Kiwanja kinapatikana chalinze, ni mita 20/16, ni karibu na barabara kuu ya Morogoro, na shule ya Pingo secondary, huduma zote zipo; umeme, maji ya bomba. Kiwanja kimepimwa na kipo ndani ya Mardi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.