Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Shamba linauzwa Lipo kijiji cha Nambendo Songea, kilomita 100 kutoka Songea mjini, lina ukubwa wa ekari elfu mbili (2000) lina hati. Shamba linafaa kwa mazao mchanganyiko kama utavyoona kwenye...
3 Reactions
1 Replies
2K Views
Sisi ni Graceusafi Tunafanya Usafi Ofisini nyumbani shuleni, nyumba mpya na sehem za Ibada Tunafanya Usafi wa kiwango Cha juu Sana(Deep cleaning) Tunavifaa vyote vya kufanyiwa usafi mfano, mashine...
2 Reactions
0 Replies
702 Views
Nyumba ya ghorofa inapangishwa kwa laki tano (500,000 Tsh) maeneo ya mtaa wa Chang'ombe B karibu na kituo cha Serengeti. Kinachopangishwa ni hiyo ghorofa ya juu. Ipo mtaa mzuri sana nyumba...
4 Reactions
21 Replies
2K Views
Habari ndugu, Nawatangazia wadau wote kua ninauza kiwanja changu kilipochopo maeneo ya Kigamboni Kimbiji puna Ni meter 150 toka barabara kuu facilities kama maji na umeme tayari vimefika Kiwanja...
2 Reactions
24 Replies
3K Views
Based on Dar es salaam & Zanzibar. Generator Services, Refrigerator Services, Air conditioners Services, Electrical wiring, Washing machines services. For first & Reliable Services call us First...
1 Reactions
0 Replies
567 Views
Mpyaa full box imetumika wiki mbili tu ipo kama unvyoitoa dukani Bei 230,000 fixed Pm for details
0 Reactions
1 Replies
473 Views
Kwa mahitaji yako ya viwanja vya saizi zote... tuwasiliane 0685 779278/0755 927881
1 Reactions
4 Replies
683 Views
Linauzwa: jiko la gesi la biashara na mtungu wake-100,000 tu. Liko bunju b piga 0767 72 73 88
0 Reactions
2 Replies
746 Views
Somo kuhusu kuchagua njia za kutengeneza fedha kwenye uwekezaji wa ardhi na majengo ni somo muhimu sana kwa yeyote anayewekeza kwenye uwekezaji huu. Rafiki yangu ukianza vibaya kuwekeza kwenye...
2 Reactions
12 Replies
3K Views
Gari iko tabata.. picha za ndani sina Ac ya kujaza. Haina tatizo lolote Piston 4 cc 990 Mil 3.3 0713096076
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Wakuu naombeni mnibariki na IST au RAUM iwe namba D isiwe na kipengele chochote Nina budget ya Milioni saba (7m) Cash. Tafadhari ndugu zangu madalali mnisamehe sana nahitaji gari kutoka kwa...
4 Reactions
16 Replies
1K Views
Nahitaji kufanya biashara ya kuuza nazi lakini bado sijafaham wapi naweza pata kununua mzoefu wa biashara hii anisaidie kabla sijala mtaji jamani.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
IMESHUKA BEI TOYOTA VITZ Full A/C Cc 990 4 piston No mechanical problems imebadilishwa rangi Bei: mil 4.5 Simu- 0713096076 ipo kawe, Dar es salaam. Serious customers dont comment. Pls call asap
2 Reactions
3 Replies
1K Views
-Used vitz plate number B -Haina ac -Ipo ubungo Riverside -Bei milioni 3. -Contact 0712518770 mimi ndio mmiliki.
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Miche bora kabisa ya miti inauzwa. Bustani iko Rondo- mkoani Lindi mkabala na ofisi za TFS. Miti iliyopo ni :- 1. Tectona grandis (Mtiki- Misoji) 2. Eucalyptus grandis na Camaldulensis (Mkaritusi-...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Miche bora kabisa ya miti inauzwa. Bustani iko Rondo- mkoani Lindi mkabala na ofisi za TFS. Miti iliyopo ni :- 1. Tectona grandis (Mtiki- Misoji) 2. Eucalyptus grandis na Camaldulensis (Mkaritusi-...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Habar wakuu. Uwanja una upana mita 20urefu mita 25 Umeme Maji balabal vipo Bei Milion 8 Maongez yapo Uwanja hauna hati 0623935516 Karibun🙏🙏
1 Reactions
5 Replies
670 Views
Wadau habari za leo ! Nachukua nafasi hii kuwatangazia biashara ya dagaa wa maji chumvi kwa sampuli zao: 1. Dagaa nyama, 2. Dagaa wakavu/Lukumbu, 3. Lumbunga , na 4. Ng`onda pia wapo. -Mauzo ni...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau nauza hii server cabinet ikiwa na top mounted cooling system pamoja na Sisco switch and Firewall kwa Bei ya punguzo...Niletee laki tatu na nusu uchukue.... 350,000 Location mabibo external...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Back
Top Bottom