Shamba linauzwa Lipo kijiji cha Nambendo Songea, kilomita 100 kutoka Songea mjini, lina ukubwa wa ekari elfu mbili (2000) lina hati.
Shamba linafaa kwa mazao mchanganyiko kama utavyoona kwenye...
Sisi ni Graceusafi
Tunafanya Usafi Ofisini nyumbani shuleni, nyumba mpya na sehem za Ibada
Tunafanya Usafi wa kiwango Cha juu Sana(Deep cleaning)
Tunavifaa vyote vya kufanyiwa usafi mfano, mashine...
Nyumba ya ghorofa inapangishwa kwa laki tano (500,000 Tsh) maeneo ya mtaa wa Chang'ombe B karibu na kituo cha Serengeti.
Kinachopangishwa ni hiyo ghorofa ya juu. Ipo mtaa mzuri sana nyumba...
Habari ndugu,
Nawatangazia wadau wote kua ninauza kiwanja changu kilipochopo maeneo ya Kigamboni Kimbiji puna
Ni meter 150 toka barabara kuu facilities kama maji na umeme tayari vimefika
Kiwanja...
Based on Dar es salaam & Zanzibar.
Generator Services, Refrigerator Services, Air conditioners Services, Electrical wiring, Washing machines services.
For first & Reliable Services call us First...
Somo kuhusu kuchagua njia za kutengeneza fedha kwenye uwekezaji wa ardhi na majengo ni somo muhimu sana kwa yeyote anayewekeza kwenye uwekezaji huu.
Rafiki yangu ukianza vibaya kuwekeza kwenye...
Wakuu naombeni mnibariki na IST au RAUM iwe namba D isiwe na kipengele chochote Nina budget ya Milioni saba (7m) Cash.
Tafadhari ndugu zangu madalali mnisamehe sana nahitaji gari kutoka kwa...
IMESHUKA BEI
TOYOTA VITZ
Full A/C
Cc 990
4 piston
No mechanical problems
imebadilishwa rangi
Bei: mil 4.5
Simu- 0713096076
ipo kawe, Dar es salaam.
Serious customers dont comment. Pls call asap
Miche bora kabisa ya miti inauzwa. Bustani iko Rondo- mkoani Lindi mkabala na ofisi za TFS.
Miti iliyopo ni :-
1. Tectona grandis (Mtiki- Misoji)
2. Eucalyptus grandis na Camaldulensis (Mkaritusi-...
Miche bora kabisa ya miti inauzwa. Bustani iko Rondo- mkoani Lindi mkabala na ofisi za TFS.
Miti iliyopo ni :-
1. Tectona grandis (Mtiki- Misoji)
2. Eucalyptus grandis na Camaldulensis (Mkaritusi-...
Wadau habari za leo !
Nachukua nafasi hii kuwatangazia biashara ya dagaa wa maji chumvi kwa sampuli zao:
1. Dagaa nyama,
2. Dagaa wakavu/Lukumbu,
3. Lumbunga , na
4. Ng`onda pia wapo.
-Mauzo ni...
Wadau nauza hii server cabinet ikiwa na top mounted cooling system pamoja na Sisco switch and Firewall kwa Bei ya punguzo...Niletee laki tatu na nusu uchukue....
350,000
Location mabibo external...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.