Nahitaji machine za uwakala wa NMB na CRDB

Nahitaji machine za uwakala wa NMB na CRDB

Manase fast courier

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2021
Posts
600
Reaction score
348
Habari wakuu,

Nina shida na machine hizi mbili kwa ajili ya ofisi ya uwakala, kwa yoyote ambae anauza au aliacha biashara hii na anahizo machine anisaidie tuwasiliane, ofisi ipo Korogwe Tanga

Dials 0744302922/ 0762177274
 
Taratibu umeshafanya wakazingua basi fanya hivi mzoe mtu wahuko jenga mazoea kwa mtu aliyekubali mazoea nawe atakufanyia mpango chapu maana zilizotumika zinamatatizo nakubwa ni deni unaweza kuchukua kitu mtu anadeni lake kubwa .
Hapana ukipata mtu mwenye machine mkauziana na mkakubaliana mnaweza kwenda Benki wakabadirisha ID na account number hii inafanyika ndani ya siku 3 na ni Kwa NMB ila crdb ukiomba POS inaweza kupata tu bila shaka so tafuta mwenye machine akiridhia mnaenda Kwa Branch ila lazma uwe na float account wanafuta account ya muuzaji Wana update account ya mnunuaji unaendelea na biashara Kila la kher
 
Hapana ukipata mtu mwenye machine mkauziana na mkakubaliana mnaweza kwenda Benki wakabadirisha ID na account number hii inafanyika ndani ya siku 3 na ni Kwa NMB ila crdb ukiomba POS inaweza kupata tu bila shaka so tafuta mwenye machine akiridhia mnaenda Kwa Branch ila lazma uwe na float account wanafuta account ya muuzaji Wana update account ya mnunuaji unaendelea na biashara Kila la kher
Asante kwa kunielekeza
 
Back
Top Bottom