Hello, nauza simu yangu google pixel 3a nimenunua mwezi uliopita 300000.
Tarehe Moja/8 napata simu nyingine naiuza hii 200000.
Unaweza lipa Kwa awamu 2.
Nipo, Dar es salaam.
WhatsApp 0689727165
Naomba kujua bei za frem na chumba kwa morogoro, na maeneo yote ya moro,sehemu palipo chagamka.
Sehemu ambapo unaweza kufanya bishara ya library ya movies,biashara ya nguo,gesi,n.k
Natanguliza...
Wakuu habari za mida, naomba udadavuzi wa hiyo pikipiki ikiwa mpya kabisa kuanzia bei ya dukani, usajili, bima n.k namaanisha kuanzia ununuzi wa hiyo pikpiki mpaka itakapoingia barabarani...
Tarehe 13 October 2022 nina send off ya bint yangu, nahitaji huduma ya min bus kama vile toyota coaster, Nissan civilian nk. Root itakuwa kutoka nyumbani Tabata kwa Swai saa 11.30 jioni kwenda...
Karne hii kumekuwa na watu wengi wanao shauri kuwa na tovuti/website kwa ajili ya kampuni au biashara.
Sa nyingine wamekuwa wakitangaza ivo, kwa ajili ya manufaa yao binafsi. Ikiwemo kujipatia...
Hii simu ni used ninaitumia mwenyewe. Ukubwa ni Gb 64 internal memory rangi ya gray ina crake nyuma ila kioo ni kizima kabisa.
Nauza pamoja na ear buds Tsh 290,000 lakini kama unahitaji simu...
Habarini ndugu!
Nmeamua kuja na vitabu vya sheria kwa lugha ya kiswahili kwa ajili ya kuongeza uelewa katika mambo mbalimbali ya maisha ya kila siku,katika kitabu hiki utapata ufafanuzi katika...
Ndugu zangu wafanyabiashara na wajasiriamali ngoja niwape fursa kidogo ya kutangaza biashara zetu. Kwa wale wa matangazo ya ya kwenye spika yaani unakua unaplay eneo lako la biashara huku likitaja...
Samahan content haiendani na kichwa cha habari
Nauza polo shirts (form six) kwa jumla kuanzia piece 10 na kuendelea sh 11,500/=
Tunatuma mpaka mikoani
0713520180
Amani iwe kwenu ndugu zangu!
Naam nmekuja tena na vitabu vya sheria kwa kiswahili toleo la pili baada ya toleo la kwanza kufanya vizuri.
Vitabu hiki kimechambua kwa undani sheria zifuatazo...
Ñdugu zangu nina shida na Mtu anaejua lugha ya Kireno kiufasaha kuongea na kuandika Kwa uweledi .KUNA KAMPUNI INATAFUTA MTU ANAEJUA HIYO LUGHA YA KIPORTUGUESE KUONGEA NA KUTAFSIRI WANA TRIP YA...
Mashine mpya kabisa ya kutengenezea chaki inauzwa Tsh 300,000 tu
Ina matundu 100
Nipigie kwa 0769 863 484 tufanye biashara chap
Location: Dar es Salaam
Kama Tangazo linavyosema tunauza rim paper cartoon moja sh 65,000/= kwa aina zote za rim, kwa aliyeko dar ukichukua cartoon Zaid ya mbili unaletewa bure na tunatuma mpaka mikoani zifuatazo ni...
Bajaj ya ABIRIA inauzwa.
kampuni Piaggio
IGOMA-MWANZA
Uhakika elfu 20 kila siku
Haina shida yoyote, njoo na fundi wako mkague inapiga kazi mpaka sasa
njoo na 4mil uendelee na kazi
Tuwasiliane...
Karibu ujipatie Vipuri vya mitambo ifuatayo ila iwe ni brand ya CAT.
1. Grader
2. Dozer
3. Backhoe
4. Wheelloder
5. Roller
Vipuri kuanzia vya engine mpaka body parts utazipata. Na attach...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.