. Wala hauko serious na biashara.
Huoni aibu kusema unahitaji transistors aina zote.
Inaelekea hata transistors zenyewe huzijui
Tatizo Ulilonalo ww ni Upunguvu wa ufikili na Siwezi kukulaumu kwa hilo.
Nna Masters ya Electronics
•Siku zote unapokuwa una oda mzigo kwa jumla bas ina paswa ueleze kwa Ujumla.
Mfano:
Unapotaka fungua kampuni ya Kuuza magari Leja leja inatakiwa uagize mzigo wa jumla wa magari
Ambapo utaagiza gari Ambazo unaamini zitauzika katika biashara yako
Ivo wakati wa kuoda mzigo wako wa magari wa jumla utaandika
• TOYOTA - ALL MODEL
• NISSAN - ALL MODEL
•MISTUBISH - ALL MODEL
Kwahyo Utaorodhesha Majina yote ya Gari unazohitaji kwahyo uko unakooda mzigo wakiwa hawana Model zote za aina ya Gari uliotaka BAs watakupa Baadhi ambazo zipo
LAKINI MTEJA WA LEJA LEJA HUWA ANAAGIZA MZIGO
KWA KUANDIKA JINA LA KAMPUNI MFANO NISSAN pamoja na MODEL YAKE
ILA WAJUMLA HAFANYI IVO KWAKUA ANATAKA KUKIDHI MAHITAJI YOTE YA WATEJA WA LEJA LEJA
INAMAANA KILA MODEL ITAKAYOULIZIWA IWEPO.
MPAKA HAPO UTAKUWA UMEELEWA
PIA
KUMBUKA : TANGAZO LANGU LIKO INTEREST NA WENYE MADUKA YA JUMLA . KWA7BU MIMI NATAKA MZIGO WA JUMLA .
KWAHYO
IC - All model
Diode - All model
Transistor - All model
Wanaotakiwa waandike ni IC Namba ngapi ni wale wanao chukua leja leja na huwa wananunua kwa Lengo la ku Replace kifaa kilicho fault.
KWAHYO KAMA WEWE HAUNA DUKA LA VIFAA VYA JUMLA VYA ELECTRONICS
BASI HILI TANGAZO HALIKUHUSU HATA KWA MBALI
SIKU ZOTE UKIONA JAMBO HALIKUHUSU BAS WE ACHANA NALO
MZIGO WA JUMLA HUWA HAUAGIZWI KWA KUTAJA
MODEL YA KIFAA / NAMBA YAKE.
BALI HUAGIZWA KWA JINA LAKE TU.
KWA7BU JINA LAKE
HUJUMUISHA AINA ZAKE ZOTE KATIKA NAMBA TOFAUTI TOFAUT.
Nakushauri Tu
JIFUNZE KUTAFAKARI KABLA YA KULOPOKA .
ANAE ODA KIFAA KIMOJA NDO ANAPASWA KUTAJA JINA LA KIFAA PAMOJA NA NAMBA ZAKE ILI ASIPATIWE KIFAA TOFAUTI NA ALICHO KUWA ANAKIHITAJI.
KAMA HUNA DUKA LA JUMLA HII THREAD HAIKUHUSU KABISA
WAACHIE INAEWAHUSU.