Nissan march au mazida demio inahitajika

Nissan march au mazida demio inahitajika

KANYEGELO

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2019
Posts
2,303
Reaction score
4,998
Naihitaji nissan march mgongo wa kobe, mkali unenyooka au mazda demio zingatia iwe Mwanza au Shinyanga, sina hela ya kufata mikoa mingine njoo na offer.


Nissan_March_K12_003_(cropped).JPG
 
Kuna magari nikiyaona huwa nashangaa mnayapendea nini kumbe yana wateja wake? Sikuwa najuwa.
Mkuu hakuna mtu siyependa Range Rover, Audi, Benz au BMW ila kutokana na kipato mtu unaamua kujichuja mwenyewe ktk chekeche.

Katika wish list yako automatically unajikuta unaweka gari Kama Porte(umbo la tikiti maji), Nissan march, passo na Nissan juke(chura). Kipato hukuamulia.

Nakumbuka ndugu yangu Extrovert kwenye uzi fulani Kuna gari alizimention hata umwekee panga shingoni hawezi nunua. Nilicheka Sana.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu hakuna mtu siyependa Range Rover,Audi,Benz au BMW ila kutokana na kipato mtu unaamua kujichuja mwenyewe ktk chekeche.
katika wish list yako automatically unajikuta unaweka gari Kama Porte(umbo la tikiti maji),Nissan march,passo na Nissan juke(chura).Kipato hukuamulia.

Nakumbuka ndugu yangu Extrovert kwenye uzi fulani Kuna gari alizimention hata umwekee panga shingoni hawezi nunua.Nilicheka Sana.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Tena kama unajijuwa bado unaungaunga usitoke nje ya Toyota.
 
Mawazo ya toyota vijana yanewakaa sana, usidhani toyota ni gari uke ni uchafu tu angalau nissan, mazda, subaru kidogo mjapan aliuniza kichwa
Hizi ndio kauli za maskini na mafukara, yani unaulizia Nissani March ya million 4 halafu unamponda mwenye Land cruiser V8 VXR, ubongo wako umejaa fungus.
 
Mkuu hakuna mtu siyependa Range Rover,Audi,Benz au BMW ila kutokana na kipato mtu unaamua kujichuja mwenyewe ktk chekeche.
katika wish list yako automatically unajikuta unaweka gari Kama Porte(umbo la tikiti maji),Nissan march,passo na Nissan juke(chura).Kipato hukuamulia.

Nakumbuka ndugu yangu Extrovert kwenye uzi fulani Kuna gari alizimention hata umwekee panga shingoni hawezi nunua.Nilicheka Sana.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Kuna gari ni aibu kuzimiliki😂
 
Hizi ndio kauli za maskini na mafukara, yani unaulizia Nissani March ya million 4 halafu unamponda mwenye Land cruiser V8 VXR, ubongo wako umejaa fungus.
Unahisi kila anayemiliki nissan march maskini mzee kibakuli muhimu nina mashine imetulia tu mazda cx 5 kali dizel hiki nahitaji kumpa zawadi mama watoto mtarajiwa
 
Mimi ndiyo nimenunua kibubu juzi juzi tu hapo ili siku Moja nijikomboe kwa Porte au passo.Mafuta kijiko tu inatembea.

Muhimu nitembelee matako,nyie wa kucheka chekeni tu.[emoji2]
Tuko wawili ndugu,me sijali wanasemaje as long as I move from one point to another.
 
Mkuu hakuna mtu siyependa Range Rover,Audi,Benz au BMW ila kutokana na kipato mtu unaamua kujichuja mwenyewe ktk chekeche.
katika wish list yako automatically unajikuta unaweka gari Kama Porte(umbo la tikiti maji),Nissan march,passo na Nissan juke(chura).Kipato hukuamulia.

Nakumbuka ndugu yangu Extrovert kwenye uzi fulani Kuna gari alizimention hata umwekee panga shingoni hawezi nunua.Nilicheka Sana.

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Kwa kigezo cha kipato, ondoa juke kwenye list yako!

Juke imezidi bei magari mengi tu yenye mwonekano mzuri..
 
Back
Top Bottom