Nipe dondoo kuhusu laptop

Nipe dondoo kuhusu laptop

Kwa bajeti ya shilingi laki 3 mpaka laki 4 ninaweza kupata laptop aina gani dukani?
Dukan huwezi laptop laki 4! Dukan second hand nzuri ya maana andaa laki 7, kwa laki 4-3 tafuta ya mkononi tu utaoata ata Core i3- Core i5 yenye Ram 4, Hdd 500 inakaa chaji ukiwa tayar mi nitakupa Dell Inspiron N5040 kwa Laki 3.5.
 

Attachments

  • IMG20220728123828.jpg
    IMG20220728123828.jpg
    923.7 KB · Views: 15
  • IMG20220728123812.jpg
    IMG20220728123812.jpg
    826.2 KB · Views: 16
  • IMG20220728123743.jpg
    IMG20220728123743.jpg
    494 KB · Views: 16
  • IMG20220728123751.jpg
    IMG20220728123751.jpg
    590.4 KB · Views: 16
  • IMG20220728123739.jpg
    IMG20220728123739.jpg
    555.5 KB · Views: 18
Kama unahitaji laptop nzuri kabisa ukiwa na 400k unaipata. Usikubali kununua za mkononi, unaweza kuuziwa laptop yenye performance ndogo au hardware za zamani sana ambazo kwa sasa hazitaweza kukidhi mahitaji yako.
Mmhh sasa laki 4 nan atakupa latop yenye vifaa vya kisasa? Utawapata wapi laptop procesor ya core i kwa laki 4? Au mnaangalia muonekano tu? Kama muonekano sawa utapewa ata vilenovo au Hp Notebook 11 g2 zenye ssd ya cheap 128 procesor intel 1.1
 
Dukan huwezi laptop laki 4! Dukan second hand nzuri ya maana andaa laki 7, kwa laki 4-3 tafuta ya mkononi tu utaoata ata Core i3- Core i5 yenye Ram 4, Hdd 500 inakaa chaji ukiwa tayar mi nitakupa Dell Inspiron N5040 kwa Laki 3.5.
Kuna lenovo note pad nzuri tu anapata kwa laki 4..

#MaendeleoHayanaChama
 
KWA hela hio bora unapata new kwa kuagiza China
 
Kama unamaanisha dukani mpya hupati, lwa laptop nzuri you need around laki 8 kupanda kupata core i3 gen za karibuni.

Laki 3 mpaka 4 tafuta used core i3/i5 gen ya 4 mpaka 7 ni reasonable.
Mkuu Generation ya 7 nani akuuzie laki 4? Labda kama anauza nae hajui machine! Generation ya 3,4,5 kwa laki 4 fresh unapata core i3 au core i5!

Core i3 kwa laki 8 dukani haiwezi kuwa mpya full box ata siku moja! Iwe 8 Gen au 9 au 10 au 11 Generation hupati! Zile Intel ndo utapata kwa laki 8 mpya ila core i3 full box au core i5 lazima itafika milion na kitu itategemea na Generation tu.

Hizo za laki 8 dukani ni Refurbished au used za mtaani wale nao wanazuweka vzr na wanauza ata laki 9
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom