Nyumba inapatikana Vingunguti Spenco, ina vyumba sita kwa ndani kimoja kwa nje. Vyumba, vyote sita vina. wapangaji. Wahi chapu chapu ubahatike, mwenye nyumba ana shida zake. Piga namba 0677089280...
Wireless Earbuds
-Touch sensor
-Waterproof
-Price: 25,000/=
Contact: 0653776099
Free delivery service ipo ndani ya Dar es salaam
Sent from my Nokia 6.1 Plus using JamiiForums mobile app
Nauza Samsung galaxy A53 5G mpya kabsa fullbox mimi nilinunua 780k dar ila nimepata dharura hapa ya ghafla naomba mwenye 650k nimuachie simu hii ina GB 128 Ram 8 niko mwanza nyegezi
PIKIPIKI IMESHAUZWA, IMESHANUNULIWA NINA WA SHUKURU WATU WOTE WA HUMU NDANI KWA USHIRIKIANO WENU HATIMAE NIMEUZA SIKU NYINGINE NIKITANGAZA BIASHARA MSIWE NA SHAKA WALA WASIWASI YOYOTE
Wakuu ni...
Hopefully mko Sawa kabisa. Kuna kamsumari fulani kanaitwa (PUSH CLUTCH) Kwa mujibu wa fundi pikipiki. Huo msumari kazi yake ni:
Wakati unabana clutch, kenyewe Kule ndani kanasukuma ili kutenga na...
SunNova Solar Inverter Pure Sine Wave (Brand New/Haijawahi kutumika)
Falcon Eco 2000VA/24V
Power - 1,300W
Weight 15.5kg
Ninapatikana Mbezi Louis (Mageti)
Kama upo interested nicheki 0629 019820
Kitanda chenye ukubwa wa tano kwa sita kinauzwa, bei ni Tshs 75,000 maongezi kidogo yapo.
Napatikana Mbezi Makabe, kama unahitaji piga simu 0712268434 tufanye biashara.
Karibuni
Kwa wale wanafunzi na mtu yeyote binafsi ambae angependa kuweka windows 11 kwenye mashine yake. Tunaweka window 11 ki proffesional zaidi. Tunakuwekea ikiwa na keys na application zinginezo kama...
Nauza bata maji wako 8 kwa bei ya laki moja ya kitanzania (Tsh 100,000/-).
Bata wana miezi mitano, mmoja ana miezi nane hivi. .
Bei nauza kama bure haipungui hata senti moja.
TANGAZO LA KUUZA NYUMBA
NYUMBA INAUZWA IPO GONGO LA MBOTO JIJINI DAR ES SALAM
NYUMBA ZIPO MBILI KUBWA NA NDOGO (BANDA LA UWANI)
NYUMBA KUBWA INA VYUMBA 3 CHOO CHA NDANI JIKO NA SITING ROAM...
Jamani kwa wakazi wa morogoro na walioko jirani changamkieni fursa nyingine ya kujiajiri kwa kusafisha taa za gari kwa kutumia technology ya kisasa kabisi...
MCHANGANUO KWA UFUPI;
Taa moja ya...
Habari za muda huu, msaada kwa anayefahamu chimbo la vifaa vya usalama vya ujenzi kama gumboots, reflectors, gloves ngumu za ujenzi, helmet za ujenzi, nk Kariakoo au dar au popote pale...
Kustaafu ni kufikia uwezo wa kifedha wa kuweza kufanya chochote utakacho kulingana na kiasi cha utajiri wako.
Kwangu mimi kustaafu sio kuacha kufanya kazi (ajira au biashara). Neno kustaafu...
Changamoto hii kwa kiwango kikubwa husababishwa na mambo yafuatayo kwenye Kompyuta yako.
1.Uwepo wa tatizo/msuguano wa “Hardware” kwenye Kompyuta.
2. Kompyuta kuwa na joto saana.
3. Kuharibika...
Karibuni nyanya, fresh from shamba
Crate 45,000/-
Ndoo ndogo 10,000/-
Ndoo kubwa 17,000/-
Tupo Dsm, Mbezi ya kimara
Karibuni saaana.
Msimu huu wa sikukuu. Kwa bei Che.
0752850081
0783985530...
Hellow habari nahitaji anayeuza maharage ya jano mazuri ya jumla jumla anicheki kupitia 0752684160,ni vizuri kama hutatokea mikoa jirani kama Morogoro na Mbeya itakuwa poa sana napatikana Dodoma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.