Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nawaletea mzigo huu 250 XLR Honda, kwa Bei Kitonga alietayari na anicheki #0788507074
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Salaam wakuu, Kama kuna mzazi anahitaji mtoto(watoto) wake wafundishwe tuition nyumbani masomo ya Science na Mathematics(Primary) pia walelewe katika mfululizo maalum wa mafundisho ya Kikristo...
1 Reactions
0 Replies
918 Views
FANYA BOOKING YAKO YA USAFI TUPIGIE SASA....[emoji337][emoji337][emoji337][emoji337] [emoji120] UTAPATA HUDUMA YA USAFI WA NYUMBA YAKO NA OFISI YAKO KWA GHARAMA NAFUU KABISA, USAFI WA:-...
0 Reactions
2 Replies
729 Views
Habari mazee! Nahtaji fundi umeme mzuri wa magari anaejua sio mpiga ramli....ka gari kangu kile kidude cha ku charge simu au kupachika mp3 hakipitishi umeme toka jana,....naishi maisha ya tabu...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Habari za wakati huu, Koding Kids Program ni programu maalum ya wiki 2 ambapo watoto wenye umri wa kati ya miaka 12 hadi miaka 15 watafundishwa masuala ya msingi kuhusu masomo ya sayansi ya...
1 Reactions
2 Replies
633 Views
Samahani kwa anaejua bei za viatu vya plastic Dar, Kariakoo yani "yebo yebo" nahitaji mzigo kwaajili ya kufanya biashara mkoani nina imani vina faida.
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Habari wakuu mambo niaje Ninauza korosho zilizobanguliwa kilo 16000tsh na zipo kilo 25 tu mzigo upo mbagala kwa mawasiliano zaidi piga 0692550111.
3 Reactions
3 Replies
725 Views
Mk service Kwa mazalia ya aina zote za wadudu Chini (Ardhini) Majini,mapangoni,maporini Majumbani,majararani,maofisini, ktk magodauni, kwenye vyombo vya usafiri na nk. Karibuni sana
1 Reactions
7 Replies
673 Views
JIFUNZE KUANDAA ANDIKO LA MRADI. (SOMO LA MSINGI) MAMBO YA KUZINGATIA KATIKA MUUNDO WA ANDIKO LA MRADI NA TAARIFA ZA MSINGI KUHUSU ANDIKO LA MRADI Je, unaweza kuandika kwa ufupi mambo ya msingi...
1 Reactions
12 Replies
16K Views
Habari za mchana natafuta kiwanja maeneo ya Chanika au Viwege bajet 1.2
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wadau. Nina gari Vitz old model. Engine yake inasumbuasumbua inahitaji either fundi makini au half engine au engine mpya. Half engine nimeambiwa mil 1. Engine kamili mil 2. Mimi nimefulia...
6 Reactions
11 Replies
1K Views
Bei, la Toyota double kibini tsh 75000, hizi nyingine mbili ni tsh 50000.
2 Reactions
4 Replies
605 Views
Habari ya usiku wakuu. Nimekuja tena kijana wenu kwani naamini JF ni uwanja wa suluhisho. 🔥Ninahitaji TOYOTA RAUM NEW MODEL iwe na engine ya 1490cc. 🔥Gari iwe na namba kuanzia DW, DX, DY, na...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Natumai mu wazima... Nauza pumba za dengu kunde na soya kwa jumla kilo ni 200 napatikana Tandale sokoni... kama wewe unatengeneza chakula cha kuku au ng'ombe karibu sana. kwa mawasiliano 0674...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Saa ni mpya kabisa Z51 smartwatch 8 Ina watch faces za apple watch series 8 Unapata na mikanda pair 2 Bei 45,000 Tshs Maongezi yapo Naomba radhi picha hazina ubora Tuwasiliane 0693010101 NB...
0 Reactions
4 Replies
679 Views
Habari zenu. Ninauza godoro bado jipya 100,000 4*6*8 Ninauza kitanda used 100,000 4*6*8 Kiti na meza 50,000
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Lenovo XIIM 2-in-1 laptop slim and nice Affordable 2-in-1 Tablet 10 windows tablet with detachable keyboard and hi-res display 11 Size ••Processor : Intel Atom X5 ••Generation: 6th ••RAM...
3 Reactions
22 Replies
4K Views
Vipo chamazi Bei yake ya kawaida sana Hii ipo Na vyumba vitatu Sebule Vyumba viwili master Choo cha public Dining Jiko Full fance Iko MITA 300 kutoka barabara kuu Ina maji tayari Inataka 78 mil
2 Reactions
1 Replies
706 Views
Ni safari ya kiimani wapendwa
0 Reactions
2 Replies
359 Views
Shida ndio hiyo kwanye mada.kama kuna anaye mfahamu dalali au kampuni inayo uza magari used na bei nzuri sio used kutoka japan iwe used hapa hapa home , used zabjapan bei imechangamka Maeneo iwe...
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Back
Top Bottom