Sub Woofer Aina ya Sea Piano inauzwa Mwanza

Sub Woofer Aina ya Sea Piano inauzwa Mwanza

Kigorohe

Senior Member
Joined
May 21, 2019
Posts
160
Reaction score
255
Habari

Kama kichwa kinavyosema hapo kuna Sub Woofer aina ya Sea Piano ipo sokoni nipo Mwanza kwa anahitaji njoo PM bei ni 150k ni mpya
Karibu
20200321_104118.jpg
20200321_104131.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zilishapitwa na wakati hizi punguza bei.

150 ni kubwa mno, hapo ukiongeza 20 unapata aboder moja matata spika zinatema ile ile
 
Zilishapitwa na wakati hizi punguza bei.

150 ni kubwa mno, hapo ukiongeza 20 unapata aboder moja matata spika zinatema ile ile
Yan Aborder ata siyo kitu kabsaa! Inawahi kuharibika amplifier ya base

Lkn hii chuma baba unapga utakavyo ina kila kitu blue tooth na kila kila unachokijua ww ni ya kisasa zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
150k ni bei ya Sea Piano mpya. Hiyo used uza kuanzia 100k na kushuka huko.
 
Yan Aborder ata siyo kitu kabsaa! Inawahi kuharibika amplifier ya base

Lkn hii chuma baba unapga utakavyo ina kila kitu blue tooth na kila kila unachokijua ww ni ya kisasa zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
Ila old model zake kama hii hapa chini zilikuwa zinakung'uta vyema kabisa pia zilikuwa na sound nzuri sana.

images%20(3).jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom