Karibu ujipatie kitabu chenye toleo la kwanza na la pili kwa pamoja kinachotoa mwongozo wa ufugaji wa ngurue kuanzia ujenzi wa mabanda, vipimo vyake mbegu sahihi ya kuanza nayo na hata uzalishaji...
Nauza camera cover kwa ajili ya kuzuia mvua au camera kuingia maji. unaweza shoot hata ukiwa ndani ya maji, mazingira ya maji au mvua ikiwa inanyesha. .
Bei elfu 50 sawa na bure. .
Holiday swimming classes karibu umwandikishe mtoto wako apate mafunzo ya mchezo wa kuogelea kipindi iki cha likizo
Tunapatikana
Tabata 80k…8days
Upanga 90k…8days
Mbezi beach 80k…8days
Kinondoni...
Baada ya kumaliza ziara ya kufungua anga la Tabora juzi Jumamosi, wiki hii Mtume Mwamposa atakuwa Bukoba mjini
Watu wataombewa, Wataponywa, Watafarijiwa na Watapata msamaha wa dhambi zao
Mungu...
Heka heka za kombe la dunia zikiwa zina endelea na nyuso za watu zikiwa zimejawa na furaha wakati huu wakiangalia timu zao pendwa zikiwa zinacheza soka safi. Kampuni yenu pendwa ya TECNO ambayo...
Kiwanja (20x40) Tsh 6.5M kimekaa Tambarale kabisa, kimezungukwa na makazi ya watu pamoja na huduma zote kijamii
Kiwanja hiki Kipo kiluvya makulunge karibu na zahanati ya makulunge upande wa...
Jipatie spy camera uweze kurekodi
matukio na ukaona kupitia simu yako
Camera ina sifa zifuatazo
Unaweza ukaunganisha camera na wifi ya simu yako ukaona kinachoedelea live kabisa
Au ukaweka...
Wanajamvi salaam!
Nina mzigo wa korosho kama tani 1000+ Mtwara (Tandahimba & Newala), Nahitaji ufike Dar es salaam, ASAP mwenye lori zaidi ya tano mpaka kumi anaweza nitafuta 0622479330 tuzungumze.
Katika msimu huu wa kombe la dunia tumekuletea ofa ya wewe na familia yako kwa kupendezesha sebule yako na kuenjoy burudani ya mpira wa miguu.
Jipange maxuria kwa bei ya ofa ya kuanzia 150,000...
Ni Property Investors Company (PIC) wanauza viwanja eneo la Pangani Mtakuja vyenye sifa: [emoji835] Viwanja vipo karibu na Barabara inayounganisha Kibaha na Vikawe.
[emoji835]Vipo umbali wa km 1.5...
Location :Ubungo plaza
Bei ya banda ni 500000
Ukiitaji ufanyie kazi hapo hapo lilipo nitakupa miez 4 free
Bei ya laini
Tigo __150000
Voda__150000
Air tel__100000
Sio lazima uchukue vyote...
TOYOTA HARRIER NEW MODEL MPYAA SANAA (DKM) PRICE MIL 17.9
Make: TOYOTA
Model:HARRIER
Engine code; 2Az
Engine capacity; 2360 cc
Mileage: Low Mileage
Full ac
Full documents.
Transmission...
Nauza Mastervolt
Part no: 77031500
Type AC 1X6A
Bei: 450,000/-
Kwa kweli sijui Ina kazi gani sema imekuja na mzigo wa mtumba. Nim jaribu kucheki mtandaoni nijue Ina kazi gani ila bado sijajua.
Nyumba ipo Argentina karibu na kituo cha mwendo kasi gari inafika mpaka mlango jiko mnatumia watu wa wili na choo mnatumia watu waili maji yapo umeme kwa mwezi 20k unawaka 24h
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.