Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Hii kitu inashangaza sasa huyu mtutokea tumempa uanachama wa EAC Anajikuta yeye ndo yeye ivi anamtishia nani hasa TANZANIA au KENYA ??? huyu bwana ujue ajiangalie sana aache kelele kelele zake...
9 Reactions
12 Replies
1K Views
Wadau natafuta wanunuzi wa ream paper mond 1 kwa jumla bei ni 42000 per carton. Ninauza ream paper mond 1 kwa bei ya jumla..mawasiliano 0787699766.
0 Reactions
20 Replies
8K Views
Nauza kiwanja kiko miembe sana kibaha , karibu na morogoro road , umbali ni kama nusu kilometa Yaani mita 600 hivi toka main road. kiwanja kikubwa mita 55 Kwa 26 . Bei ni 13m Nina shida ya...
1 Reactions
2 Replies
989 Views
Tunasafisha magari haina zote, tunaosha, tunafua siti, rufu, tunang, arisha taa, tunamwaga oili, tunatengeneza magar, tunapiga rangi, tunapiga polish ya mashine, pia tunakosha mazuria ya nyumba...
0 Reactions
1 Replies
397 Views
Kuhusu Mwandishi; Robert Irwin Robert Irwin ni mwekezaji kwenye viwanja na nyumba. Irwin ni mbobezi, kocha, na mwandishi maarufu sana katika nchi ya Marekani. Irwin ametajwa kama mtaalamu namba...
3 Reactions
4 Replies
3K Views
Nyumba ina mwonekano wa kuvutia wa ndani na nje. Ina vyumba vine vya kulala vinachojitoshereza, subure kubwa, jiko la kisasa na mahali pa kula ( Dinning area). Bei 500mil na inaongeleka. Kuiona...
3 Reactions
490 Replies
66K Views
Wakuu habari zenu, Ninauza kiwanja - Size: Urefu FT 60 upana FT 105 - Kipo Kisemvule mtaa wa Machimbo Kidubwa, maarufu kama viwanja vya Ustadhi. - Nyaraka nlionayo ni "Offer", kimepimwa na...
0 Reactions
6 Replies
795 Views
habari wanajukwaa .. nauza redio yangu aina ya seapiano .. ipo katika hali nzuri sana .. ina sehemu ya flash pia ina rimoti yake ... bei tsh 120,000 location ..Moshi mjini mawasiliano 0715 194 611
1 Reactions
4 Replies
986 Views
Ps4 fat 1 pad moja version 9 kamili.... Full box. 650k Haina wala chochote ni mpya Ukiitaji nichek PM
0 Reactions
6 Replies
481 Views
Kwa mahitaji ya decoration za ndan Tv wall Gypsum design Wallpaper za ukutan Panel mbalimbali Karibu tukuhudumie tupo Dar es salaam Bugurun sheli popote tunakufikia Mawasiliano zaid Phone...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Kwa mahitaji ya polythene tube(Viriba) vya size kuanzia Inch 2.5 hadi Inch 15 vya Gauge(G) zote zinazohitajika kwa uotesheaji wa miti ya matunda, mbao, maua N.k kwa Tsh 4000/= tu kwa KILO 1 Karibu...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, Nahitaji kukodi gari zifuatazo, kwa ajili ya mizunguko ya hapa na pale ndani ya jiji la Dar es Salaam. Yoyote mwenye moja kati ya hizi gari au zote kwa pamoja naomba aipost...
1 Reactions
1 Replies
545 Views
Habari, nimenunua hili begi bado jipya ndio kwanza lina week moja kwaajiri ya kubebea Laptop yangu ila naona hii siyo aina yangu ya begi kabisa, nimezoea begi la mogongoni nimelishindwa...
1 Reactions
10 Replies
919 Views
Tunapoelekea kumaliza mwaka Kampuni ya simu ya TECNO tumetambua umuhimu wa msimu huu wa sikukuu na tumewaletea promotion kabambe kwa ajili ya wateja wetu wote ili waweze kumaliza mwaka na tabasamu...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Habari wana jamvi. Nauza mihogo debe shilingi 8000/=. Napatikana Wilaya ya Mpwapwa, Dodoma. Karibuni sana, ukichukua mzigo mkubwa utapata punguzo.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Temperature controler thermostat kifaa kwa ajili ya utotoleshaji wa mayai. UFANYAJI KAZI: kinacontrol temperature (halijoto) wakati wa utotoleshaji wa mayai ya Kuku Bata Kanga N.K ona...
0 Reactions
0 Replies
646 Views
Habari wasakaji wa ajira, Kuna CHIMBO LA kulala , maeneo ya Nyerere square, Karibu na msikiti wa Nungwi... Bei ni 13000/= ila vitanda viko viwili , mkiwa wawili mnachanga 6,500/=...
0 Reactions
2 Replies
729 Views
Habar wapendwa naishi inchini Israel Jerusalem nimepata tender ya kuingiza evocado tani 20 kwa mwezi ndani ya mwaka 2023 mpaka 2024 so mwenye kuitaji kufanya pamoja hii biashara nawakaribisha...
1 Reactions
8 Replies
462 Views
Je wewe ni mzazi au mlezi na unamtoto ambaye yupo likizo katika msimu huu wa sikukuu za christimas na mwaka mpya? Au je wewe ni mwanafunzi na ungetamani kujipima na wanafunzi zaidi ya elfu2 nchi...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Tunatafuta watu ambao watakuwa mawakala wa bidhaa yetu ya barakoa. Tuna kiwanda cha kuzalisha barakoa za upasuaji (surgical masks/medical masks). Hivyo kama unataka kuwekeza katika biashara hii...
0 Reactions
0 Replies
377 Views
Back
Top Bottom