Hii kitu inashangaza sasa huyu mtutokea tumempa uanachama wa EAC Anajikuta yeye ndo yeye ivi anamtishia nani hasa TANZANIA au KENYA ??? huyu bwana ujue ajiangalie sana aache kelele kelele zake...
Nauza kiwanja kiko miembe sana kibaha , karibu na morogoro road , umbali ni kama nusu kilometa Yaani mita 600 hivi toka main road. kiwanja kikubwa mita 55 Kwa 26 . Bei ni 13m
Nina shida ya...
Kuhusu Mwandishi; Robert Irwin
Robert Irwin ni mwekezaji kwenye viwanja na nyumba. Irwin ni mbobezi, kocha, na mwandishi maarufu sana katika nchi ya Marekani.
Irwin ametajwa kama mtaalamu namba...
Nyumba ina mwonekano wa kuvutia wa ndani na nje. Ina vyumba vine vya kulala vinachojitoshereza, subure kubwa, jiko la kisasa na mahali pa kula ( Dinning area).
Bei 500mil na inaongeleka. Kuiona...
Wakuu habari zenu,
Ninauza kiwanja
- Size: Urefu FT 60 upana FT 105
- Kipo Kisemvule mtaa wa Machimbo Kidubwa, maarufu kama viwanja vya Ustadhi.
- Nyaraka nlionayo ni "Offer", kimepimwa na...
habari wanajukwaa ..
nauza redio yangu aina ya seapiano ..
ipo katika hali nzuri sana ..
ina sehemu ya flash pia ina rimoti yake ...
bei tsh 120,000
location ..Moshi mjini
mawasiliano 0715 194 611
Kwa mahitaji ya decoration za ndan
Tv wall
Gypsum design
Wallpaper za ukutan
Panel mbalimbali
Karibu tukuhudumie tupo Dar es salaam Bugurun sheli popote tunakufikia
Mawasiliano zaid
Phone...
Kwa mahitaji ya polythene tube(Viriba) vya size kuanzia Inch 2.5 hadi Inch 15 vya Gauge(G) zote zinazohitajika kwa uotesheaji wa miti ya matunda, mbao, maua N.k kwa Tsh 4000/= tu kwa KILO 1 Karibu...
Habari zenu wakuu,
Nahitaji kukodi gari zifuatazo, kwa ajili ya mizunguko ya hapa na pale ndani ya jiji la Dar es Salaam.
Yoyote mwenye moja kati ya hizi gari au zote kwa pamoja naomba aipost...
Habari, nimenunua hili begi bado jipya ndio kwanza lina week moja kwaajiri ya kubebea Laptop yangu ila naona hii siyo aina yangu ya begi kabisa, nimezoea begi la mogongoni nimelishindwa...
Tunapoelekea kumaliza mwaka Kampuni ya simu ya TECNO tumetambua umuhimu wa msimu huu wa sikukuu na tumewaletea promotion kabambe kwa ajili ya wateja wetu wote ili waweze kumaliza mwaka na tabasamu...
Temperature controler thermostat kifaa kwa ajili ya utotoleshaji wa mayai.
UFANYAJI KAZI: kinacontrol temperature (halijoto) wakati wa utotoleshaji wa mayai ya
Kuku
Bata
Kanga N.K
ona...
Habari wasakaji wa ajira,
Kuna CHIMBO LA kulala , maeneo ya Nyerere square, Karibu na msikiti wa Nungwi...
Bei ni 13000/= ila vitanda viko viwili , mkiwa wawili mnachanga 6,500/=...
Habar wapendwa naishi inchini Israel Jerusalem nimepata tender ya kuingiza evocado tani 20 kwa mwezi ndani ya mwaka 2023 mpaka 2024 so mwenye kuitaji kufanya pamoja hii biashara nawakaribisha...
Je wewe ni mzazi au mlezi na unamtoto ambaye yupo likizo katika msimu huu wa sikukuu za christimas na mwaka mpya? Au je wewe ni mwanafunzi na ungetamani kujipima na wanafunzi zaidi ya elfu2 nchi...
Tunatafuta watu ambao watakuwa mawakala wa bidhaa yetu ya barakoa.
Tuna kiwanda cha kuzalisha barakoa za upasuaji (surgical masks/medical masks).
Hivyo kama unataka kuwekeza katika biashara hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.