Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Heshima yenu wakuu Wakuu naomba kuuliza blender nzuri pia Kampun nzur nitawapata wapi nipo dodoma
0 Reactions
4 Replies
662 Views
Zipo TV 3 zilikua kwenye Moja ya Ofisi ya Movies Store nahitaji kubadilisha kupata TV 1 kubwa so naziuza zote 3 kwa pamoja. Mtu aje na 500,000 atazichukua zote 3 kwa pamoja, TV ni Mpyaaaaaaaa...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Machine ya miwa Kama hii ndio inayofaa maana wengi tunapenda usafi na hii itaifanya juisi iwe safi pindi unapoifanyia kazi. Sifa nyingine umeme kidogo tu unatumika Hakika inafaa kibiashara...
0 Reactions
6 Replies
949 Views
Baada ya zuio kuondolewa naomba mtu mmoja anisaidie kupata gwanda la chadema suruali +shati+ kofia, Ama hata kimojawapo Karibu PM tuyajenge Kwa aliye tayari
3 Reactions
7 Replies
668 Views
LENOVO IDEAPAD RAM 4 PROC 2.5 HDD 500 64 BITS Haina tatizo lolote, Bei 350,000 Tzs Location: DSM Mbagala Sabasaba Cont: 0716321462
0 Reactions
4 Replies
544 Views
A72/ A73/ M51/ NOTE 10+, Clean na halali... Pia kama unatala kuvunja kwa A42 5G SINGLE LINE ORIGINAL FROM KOREA ninayo Au Pc Na top up nakupa.
0 Reactions
2 Replies
597 Views
Sold
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Jipatie mashine za kutolea risiti kwa shiling laki 3 tu ili uepuke kulipa fine. VFD inatoa risiti bila kikomo na unaweza toa risiti popote ulipo inaunganishwa na simu yako au compyuta ni rahisi...
0 Reactions
0 Replies
683 Views
Ninauza simu yangu Samsung Note 20 Ultra Plus Imetumika miezi mitano. Bei : 900k Location : Mafinga Simu : 0612332310 Karibuni.
3 Reactions
8 Replies
2K Views
Gari iko ktk hali nzuri kama unavyoiona kwenye picha hapa chini. . Push to start [emoji736] YOM: 2009 Engine: 1NZ vvti Capacity: 1490cc Automatic Petrol 128,000 Kms From Japan AC [emoji736]...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Nyumba nzima inapangishwa maeneo ya mbagala sabasaba nyuma ya Tayma hospital mita10 kutoka stend ya mwendo kasi na kituoni Sifa ya nyumba 1. Nyumba ina vyumba 6 2. Vyumba vya kulala 3 kimoja ni...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Pata mashuka ya cotton nzito kwa bei ya jumla na rejareja. Mashuka yanakuwa mawili king size futi 7 kwa 8 yanafit godoro lolote. na foronya 4. Kuna 7/8 ina shuka 2 foronya 4 sh 55000 pure cotton...
4 Reactions
47 Replies
16K Views
Nahitaji water bowser iwe imetengenezwa China, Faw, Sacman, Howo etc. Iwe na uwezo wa kubeba lita 20,000 na zaidi. Pia iwe kwenye hali nzuri. Njoo na offer yako. 0767/0717-45 44 55
0 Reactions
2 Replies
458 Views
JEE KUKU WA KIENYEJI SIO KUKU WA KIBIASHARA?? [emoji2369][emoji2369] [emoji2788]NOOO,,,, Leo kampuni MWALIMU GROUP LTD imekuja na jibuuu la swalii hiloo [emoji2788]Kuku wa kienyeji ni kuku wa...
0 Reactions
2 Replies
832 Views
Habari wakuu, Basi nikiwa katika harakati za kutafuta ajira nikiwa sina capital ya kuanzisha yangu mwenyewe nijiajiri, nikapata wazo litakaloweza kunipatia capital japo kidogo angalau kwa kuanzia...
7 Reactions
14 Replies
1K Views
Habar, Kama kichwa Cha habar kinavyosema Mimi nahitaji king'amuzi Cha Azam kiwe full au decoder tu nanunua Bei tutaongea Kama unacho usisite kunipm natanguliza shukran
0 Reactions
4 Replies
802 Views
Tz kisimbusi namba 1 ni azam tv Kwanza ubora wa picha, ving'amuzi, vifurushi,ubunifu nk... Hawa jamaa wanajitahidi sana Pia ndo kisimbusi chenye vifurushi vya bei chee zaidi hapa tz
-4 Reactions
31 Replies
2K Views
Habarii...gloves zinauzwa ziko pair 48.
0 Reactions
3 Replies
516 Views
Habarini za muda huu wapenzi, Samahani naomba anayejua wapi naweza kupata package hizi kwa hapa Arusha na ni kwa bei gani napata?[emoji3526]
1 Reactions
37 Replies
3K Views
Nauza wino Original wa Hp Laserjet pro M402 MFP M426 Mbili zote kwa 350000
0 Reactions
0 Replies
400 Views
Back
Top Bottom