Habarini wadau, nauza kiwanja kipo Kata ya MAPINGA kijiji cha KIHARAKA mtaa wa SOWETO karibu na kambi ya jeshi MBWENI, huduma za kijamii zote zipo na kimeshapimwa tayar, Ukubwa 25x25..dk10 kutoka...
Single Unit Remain
LandCruiser Double Cabin
Currently Registration EAE
DashBoard Kubwa
Mwaka 2015/2016
Gold In Colour
Low Milage OG
Manual Drive
1HZ Engene
Cc 4164
Diesel Engene
Gear 6 Reverse ya...
Hello wanajukwaa.
Natoa huduma ya kufundisha kozi ya kiingereza (English Course) kwa watu wazima wa elimu kuanzia darasa la saba.
Kozi inafundishwa kwenye madaraja matatu (3)
1. Basic level...
Habari nipo hapa kuwajuza wote watakao penda kumiliki blogu nipo kufanya kazi hiyo
Ofa kwa mwana jamiiforums wote
Bei 10,000 bila domain
Na 15,000 kwa blogu ambayo inakuja na domain name ya...
Habari za leo wafanyabiashara
Naomba kujua naweza kupata wapi soko la mercury hapa nchini, Afrika Mashariki na Afrika kwa ujumla.
Pia, kama una connection ya buyers/wanunuaji wa Mercury...
Wanahitajika mawakala wa super gro Mikoa yote Tanzania Zambia Congo na Malawi
VIGEZO
1. Muaminifu
2. Mchapakazi
3. Mtaji kuanzia 550000/=
Faida tatu za kuwa wakala
1. Faida za mauzo
2...
Habari za leo wana JF? Natumaini niwazima wa afya tele...
Mimi ni mjasiriamali mdogo mwnye mwenye ndoto za kufika mbali sana.
Tatizo linalonisbua kwnye bishara yangu ni hawa wadudu INZI, Licha...
Habari za wakati huu;
Ndugu zangu hapa jukwaani nimekuwa nikiona watu wengi wakihangaika juu ya kukosa wateja wa bidhaa au huduma zao na wengine wakilalamika juu ya kukosa connection.
Connection...
Huduma zetu!
KUCHIMBA VISIMA VYA MAJI.
KUWEKA NA KUTENGENEZA BOMBA (PLUMBING SYSTEM) KWENYE MAJENGO YALIYO KWENYE UJENZI NA YATUMIKAYO.
KUBADILISHA/ KUSAFISHA PIPE ZA MAJI SAFI/TAKA...
naamini sio ndoto tena kuona waliofanikiwa
Kwenye ufugaji ila pia natamani isiwe ndoto
Pia kwako uwe mmoja wa waliofanikiwa Kwenye
Ufugaji, nipite njia ipi?
1. Kuwa tayari (roho ya kuanza...
Habari za leo ndugu, natumai mu buheri wa afya. Niende moja kwa moja kwenye mada. Naomba kujuzwa chuo kinachofundisha kunyoa (vinyozi) kwa hapa Dar. Nitashukuru nikipata huu msaada wadau.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.