ehee kumbe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2013
- 267
- 155
Wana jf wenzangu ninataka kuchimbiwa kisima katika shamba langu liko Dodoma ili nitumie kwa umwagiliaji.naomba wanaofanya uchimbaji wa visima jitokezeni mnijuze gharama zenu ili nione yupi atafaa.pia kama kuna mwana jf mwenzangu anae fahamu mchimba visima anaweza akaniunganisa nae tuongee.mawasiliano yangu 0753287306