Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari wana jukwaa, Nahitaji kitanda cha foot 5 kwa foot 6 Mahali ni Dar (Ikiwezekana kesho itakua vizuri zaidi) Offer 100k Kwa mwenye nacho nipe taarifa kupitia. 0785 857564
1 Reactions
1 Replies
381 Views
Tupo kwaajili yako wewe mjasiriamali na mfanyabiashara katika kukusaidia nyanja mbalimbali ya kuipa thamani biashara yako. Je, Biashara yako yako inahitaji kutambulika kisheria? Je, Biashara yako...
1 Reactions
0 Replies
453 Views
HABARI, Husika na kichwa cha habari hapo juu, Nauza migebuka kutoka kigoma kwa gharama ndogo tu ya shilingi elfu 2 mmoja mkubwa. Nakuletea mpaka ulipo kwa wakazi wa Dar Es Salaam endapo utaanzia...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Napenda kuwatangazia kuwa kiwanja kinauzwa, Taarifa za kiwanja [emoji116] [emoji117] Mahala - Kata ya Mjimwema, wilaya ya Kigamboni, Dar es salaam. [emoji117] Ukubwa ni mita 60 ×mita 50...
1 Reactions
3 Replies
587 Views
Jamanieeee... Heshima zenu wakubwa! Maisha ya kupanga yamenichosha! Natamani sana ninunue kiwanja nianze ujenzi maana nikifikiria kodi ya nyumba + frame ya biashara nahisi kuchanganyikiwa tu...
1 Reactions
6 Replies
844 Views
Boomplay, App namba moja ya kusikiliza na kupakua muziki barani Afrika, imeshirikiana na Kampuni ya Mawasiliano ya simu, Halotel kuzindua kifurushi cha ‘Boomplay na Halotel’ ikiwa ni sehemu ya...
0 Reactions
1 Replies
994 Views
Vifaa vya bomba (pipe fittings) vinauzwa. Bei= 65,000/= kwa vyote Mahali= Mbezi ya kimara Mawasiliano= 0765 150672 Size= 3/4 vyote
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wana JF kwa yeyote mwenye gari tajwa hapo juu INAHITAJIKA kununuliwa. Offer ni 7m ikiwa katika hali nzuri.
0 Reactions
4 Replies
763 Views
Ninauza mabox ambayo hayana kitu, box lina upana wa nchi 11 na urefu wa nch 17.5 box lina kina cha inch 17. Ukiitaji kuanzi 70 unaletewa bule ukiwa Dar, kila box moja bei ni sh 1000. Unaweza kuja...
0 Reactions
3 Replies
624 Views
Mambo vipi wana jukwaa mko poa, wazima nyote, nije kwenye shida yangu hii, nauliza naweza kupata mkopo wa kama sh laki moja bila riba, au kama riba ipo iwe nafuu kidogo, Kuna shida naitaji...
3 Reactions
18 Replies
2K Views
Naomba mnisaidie ofisi ya wauzaji wa kamera wa uhakika waliopo Zanzibar. Mawasiliano yao au jina la account ya instagram itakuwa bora zaidi.
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Msichana anahitaji kuuza Duka la Nguo. Awe Mcheshi mwenye uwezo kushawishi Wateja,
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari, Mwenye picha za bikes kali used zinazouzwa tafadhali nahitaji moja na nipo Dar es Salaam. Kaka Pascal Mayalla please ni tag kwenye ule uzi wako wa bikes.
2 Reactions
1 Replies
733 Views
🔹Audio Card readers za watoto -: Hizi unachomeka kadi yenye pande mbili kisha inatamka hilo neno la kiingereza na pia hutoa milio ya wanyama, ndege nk -: Ina maneno zaidi ya 200 na inakaa na chaji...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ofa ofa Ofa ofa Ofa ofa Ngomemachine wanakuletea toleo jipya la mashine ya kupukuchua mahindi kwa jina inaitwa kungula Inapukuchua mahindi Tani 2.5 ndani ya saa moja. hivyo ukipukuchua kwa masaa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mashine ni used but works perfectly. Other details Name; canon Model; selphy CP1000 Sheet size ; 148cm x 100cm Printing duration; approximately 2min Power; use ac adapter and powerbanks Support...
0 Reactions
3 Replies
769 Views
Hili ni zuri sana, haikulazimishi kulipia mtungi mzima kwa Sh 23000 au Sh 58000. Kwa Sh 1000 yako tuu (buku) unanunua sehemu ya gesi iliyo kwenye mtungi na kupikia. Achana na zile gesi ikiisha...
2 Reactions
36 Replies
5K Views
Jamani nahitaji eneo la gereji ambalo linapangishwa Dar es Salaam, Sifa za eneo. 1. Liwe na fence na gate. 2. Likiwa na Ofisi itapendeza zaidi(Sipendelei sana iwe garage Bubu). 3. Sihitaji...
0 Reactions
11 Replies
854 Views
Habari ya leo ndugu zangu. Ninauza mzani wa kupima uzito mwenyewe, kwa wahitaji wote kwenye maabara ndogo au wafanya diet. Bei ni elfu 70,000/= Napatikana Kahama, ila mkoa wowote nipo tayari...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kitanda 5 kwa 6 bila godoro Bei 90,000 Kipo Ubungo 0789283031
0 Reactions
4 Replies
855 Views
Back
Top Bottom