Habari wana jukwaa,
Nahitaji kitanda cha foot 5 kwa foot 6
Mahali ni Dar
(Ikiwezekana kesho itakua vizuri zaidi)
Offer 100k
Kwa mwenye nacho nipe taarifa kupitia.
0785 857564
Tupo kwaajili yako wewe mjasiriamali na mfanyabiashara katika kukusaidia nyanja mbalimbali ya kuipa thamani biashara yako.
Je, Biashara yako yako inahitaji kutambulika kisheria?
Je, Biashara yako...
HABARI,
Husika na kichwa cha habari hapo juu, Nauza migebuka kutoka kigoma kwa gharama ndogo tu ya shilingi elfu 2 mmoja mkubwa. Nakuletea mpaka ulipo kwa wakazi wa Dar Es Salaam endapo utaanzia...
Napenda kuwatangazia kuwa kiwanja kinauzwa, Taarifa za kiwanja [emoji116]
[emoji117] Mahala - Kata ya Mjimwema, wilaya ya Kigamboni, Dar es salaam.
[emoji117] Ukubwa ni mita 60 ×mita 50...
Jamanieeee... Heshima zenu wakubwa!
Maisha ya kupanga yamenichosha! Natamani sana ninunue kiwanja nianze ujenzi maana nikifikiria kodi ya nyumba + frame ya biashara nahisi kuchanganyikiwa tu...
Boomplay, App namba moja ya kusikiliza na kupakua muziki barani Afrika, imeshirikiana na Kampuni ya Mawasiliano ya simu, Halotel kuzindua kifurushi cha ‘Boomplay na Halotel’ ikiwa ni sehemu ya...
Ninauza mabox ambayo hayana kitu, box lina upana wa nchi 11 na urefu wa nch 17.5 box lina kina cha inch 17. Ukiitaji kuanzi 70 unaletewa bule ukiwa Dar, kila box moja bei ni sh 1000.
Unaweza kuja...
Mambo vipi wana jukwaa mko poa, wazima nyote, nije kwenye shida yangu hii, nauliza naweza kupata mkopo wa kama sh laki moja bila riba, au kama riba ipo iwe nafuu kidogo,
Kuna shida naitaji...
Habari,
Mwenye picha za bikes kali used zinazouzwa tafadhali nahitaji moja na nipo Dar es Salaam.
Kaka Pascal Mayalla please ni tag kwenye ule uzi wako wa bikes.
🔹Audio Card readers za watoto
-: Hizi unachomeka kadi yenye pande mbili kisha inatamka hilo neno la kiingereza na pia hutoa milio ya wanyama, ndege nk
-: Ina maneno zaidi ya 200 na inakaa na chaji...
Ofa ofa Ofa ofa Ofa ofa
Ngomemachine wanakuletea toleo jipya la mashine
ya kupukuchua mahindi kwa jina inaitwa kungula
Inapukuchua mahindi
Tani 2.5 ndani ya saa moja. hivyo ukipukuchua kwa
masaa...
Mashine ni used but works perfectly.
Other details
Name; canon
Model; selphy CP1000
Sheet size ; 148cm x 100cm
Printing duration; approximately 2min
Power; use ac adapter and powerbanks
Support...
Hili ni zuri sana, haikulazimishi kulipia mtungi mzima kwa Sh 23000 au Sh 58000. Kwa Sh 1000 yako tuu (buku) unanunua sehemu ya gesi iliyo kwenye mtungi na kupikia. Achana na zile gesi ikiisha...
Jamani nahitaji eneo la gereji ambalo linapangishwa Dar es Salaam,
Sifa za eneo.
1. Liwe na fence na gate.
2. Likiwa na Ofisi itapendeza zaidi(Sipendelei sana iwe garage Bubu).
3. Sihitaji...
Habari ya leo ndugu zangu.
Ninauza mzani wa kupima uzito mwenyewe, kwa wahitaji wote kwenye maabara ndogo au wafanya diet.
Bei ni elfu 70,000/=
Napatikana Kahama, ila mkoa wowote nipo tayari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.