themagnificient
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 988
- 3,318
Wazee wa viwanja hiyo hela wapi pazuri nitapata kiwanja size yangu?
Njoo Dodoma mkuuWazee wa viwanja hiyo hela wapi pazuri nitapata kiwanja size yangu?
Exactly umeniwai nilitaka nimuambie aje ddm atafute kiwanja huku baada ya miak kumi vichaka vyote vimeondoshwaNjoo Dodoma mkuu
maeneo ganiJuzi tu Fazza alikuwa na kiwanja alikiwa ananishahuri aniuzie kwa mil6 ameshakiuza
Unapata kwa pesa hiyo mkuu pesa nzuri tu hiyo Na kiwanja kikubwa inatosha na eneo zuri pia pambana kutafuta zaidi
Nyie ndo mnafeli mitihaniNjoo Dodoma mkuu
Kwa nini?Nyie ndo mnafeli mitihani
Cjui mnatumia vigezo Gani kumtoa dar wakati yeye hajataja Dodoma, au mnafikiri haijui mikoa ya Tz