Shamba lenye ukubwa wa ekari 500 (mia tano) linauzwa @ekari ni laki moja na ishirini 120000.shamba ni zuri naharina longolongo na linafaa kwa kilimo cha umwagiliaji na ardhi yenye lutuba...
Kariibu ofisini Magomeni Dar
Android ya IST, Rumion, Passo, Rav4, Vitz, Subaru, Noah n.k utaipata kwa 250,000
[emoji419]Ikiwa na 32 memory GB yenye uwezo wa kukopy vitu kwenye flash na memory car...
Drone Logistic tumekuwa tukiwasaidia watanzania ushauri bure juu ya bidhaa bora toka nje ya nchi na jinsi ya kuziagizia kwa ufanisi. Safari hii,tumeamua kukuletea Computer kwa bei ya e-bay ,wewe...
Habari,
Watu kadhaa wanapenda kuanza kazi ya kupiga picha, au wengine ndio wanaanza.
Kuwa na ujuzi ni jambo zuri linaloweza kukusaidia iwe unataka picha za binafsi au mpiga picha kibiashara...
Ninauza cherehani mbili zikiwa na meza zake za kushonea
1. Singer
Ina mota ya umeme
Location.. Dar es salaam Mikocheni B
Bei: 320k
Mawasiliano piga +255 786 407 039
Mzigo mwingine huo hapo; epuka usumbufu wa kukatika umeme mara kwa mara; solar kubwa hiyo hapo kwa bei Poa; vioo viwili vyenye ubora wa hali ya juu na bado vipya kabisa: kila kimoja watt40 Jumla...
Nauza saa English Gold hazipauki haraka na wallet zenye ubora mkubwa
Nafanya delivery dsm na mikoani
Bei: Saa 35,000/=
Wallet 25,000/=
Location: Mbezi, Kimara
Contact: 0626903619
Hujambo?
Kutoka Alpha Mobile Tutors (ALMOT) unaweza kukodi Mwalimu wa Masomo ya mchepuo unaotaka kusoma mwaka huu kwa kidato cha tano.
KWA NINI UKODI?
1. Mwalimu atakuwa karibu na Mwanafunzi...
#JINSI_YA_KUPUNGUZA_MATUMIZI_YA_UMEME_NYUMBANI_KWAKO.soma uelimike
Nimeamua kulizungumzia swala hili kutokana na wateja wengi kulalamika kuwa matumizi ya umeme ni makubwa hayaendani na matumizi...
Habarini wakuu wa JamiiForums
Nimekuja katika jukwaa hili kuleta fursa yangu ya kuku. Nimefanikiwa kufuga kuku wengi sana sasa kama mnavyojua baada ya kufanikiiwa katika hatua ya kwanza sasa...
TUMESHUSHA mzgo wakutomiza ndoto zako kwa upande wa mavazi,jipatie Raba kari,classic zenye muonekano kwa garama nafuu...
Call 0719257400
Jumla na lejaleja
Mkoani tunatuma
Tuko Dar es Salaam
Hii ni kwa wale warembo na wajanja wote wa mjini.
Mzigo upo ni ww tu kuingia PM nakukamata yako bei ni nafuu kabisa 40k per each
Achana na maswala ya mikaa, hapa unatumia charge tu, rechargable...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.