Jipatie CV (Wasifu) na Logo kwa bei nzuri.
CV (WASIFU) - Huandikwa kuonyesha uzoefu wa kazi, elimu, ujuzi, mafanikio yako ya kitaaluma, nia na malengo yako ya baadae.
LOGO - Logo husaidia katika...
Habari Jf .
Tumekuwa tukitoa huduma za uchimbaji wa visima, pampu za maji na bomba kwa muda mrefu sasa.
Huduma tumeboresha ili kuwafikia watu wengi zaidi.
Gharama za kufanya underground water...
Nauza bracelets kali na unique kwa bei ya jumla, bei ya dozen (12+) ni elfu moja na mia tano (1,500/=) kwa piece moja.
Wauza bracelets kama mpo interested nitafute kwa namba hii 0714-085617...
Habari wadau,
Nahitaji fundi wa plumbing akuje kunifanyia tathimini kwenye kanyumba kangu. Ila awe anaishi Runzewe - Geita au Nyakanazi, Biharamulo.
Asanteni
OFFA!!
Dar electronics wanakuletea mashine za Canon selphy CP 760.
Mashine ni used but works perfectly.
Other details
Name; canon
Model; selphy CP760
Sheet size ; 148cm x 100cm
Printing...
Wakuu amani na iwe kwenu.
Naomba kupewa connection ya gari la kukodi mbeya kwa siku mbili au zaidi kwa mizunguko ya hapo mjini. Pia kuna uwezekano wa kufanya safari za nje ya mji kidogo. Gari...
SHULE YA KIDIGITALI, SOMA MTANDAONI UKIWA NYUMBANI HUITAJI KUFIKA SHULE TENA
Habari naileta kwako TAIFA ONLINE INTERNATIONAL SCHOOL Ni taasisi mpya nchini Tanzania inatoa elimu kwa njia mtandao...
Jamani ndugu zangu nina shida na simu ya button toleo za nyuma kama Nokia vile vidogo.
Tafadhali mwenye nayo hela yake iko mfuko wa shati!
Naomba kuwasilisha
Habari wa jukwaa (jamii)
Napenda kuwakaribisha kwa wale wenye uhitaji wa containers kwa ajili matumizi mbalimbali.
Containers zipo za 20feet na 40feet
Kuna used from Japan zilizotumika hapa...
Habari,
Maabara ya Afya inauzwa .
Imekamilika kila kitu na tayari ina kodi ya miaka 6. Sio miezi ni miaka.
Location: DSM
Ipo SAKU- CHAMAZI
Ipo stand kabisa ukiangalia picha vizur utaona, haina...
Shamba lenye ukubwa wa ekari 500 (mia tano) linauzwa @ekari ni laki moja na ishirini 120000.shamba ni zuri naharina longolongo na linafaa kwa kilimo cha umwagiliaji na ardhi yenye lutuba...
Kariibu ofisini Magomeni Dar
Android ya IST, Rumion, Passo, Rav4, Vitz, Subaru, Noah n.k utaipata kwa 250,000
[emoji419]Ikiwa na 32 memory GB yenye uwezo wa kukopy vitu kwenye flash na memory car...
Drone Logistic tumekuwa tukiwasaidia watanzania ushauri bure juu ya bidhaa bora toka nje ya nchi na jinsi ya kuziagizia kwa ufanisi. Safari hii,tumeamua kukuletea Computer kwa bei ya e-bay ,wewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.