Mimi ni kijana mwenzenu mpambanaji najishughulisha na ufundi bomba majumbani na maofisini napatikana Mkoa wa Morogoro Mjini, popote ulipo ndani na nje ya Mkoa natoa huduma kwa mawasiliano 0687329591
Habari wakuu
Kuna Room ya kupangisha Makulu- Oysterbay.
SIFA
1. Room ni self contained ( choo ndani)
2. Nje ina sehemu ya kibaraza, unaweza pika nje kwa jiko la mkaa, pia unaweza hifadhi...
Ndugu wana JF mwaka 2014 ndio umeshaanza hivyo na Kama vijana tunaanza kusaka fursa.
Nataka kujua kama kuna mtu anaifahamu biashara ya mlonge mti unaosifika kwa mengi.
Je unapatikana wapi Kwa...
HABARINO👋
Huu 'mtambo' unavutia na hauna changamoto kubwa za kuumiza kichwa.
Gari ipo katika Hali nzuri.
Inapatikana Dar.
SIFA:
Toleo la 1994,
Cc 2809,
Engine 3L,
Imetembea km.202,000.
Siti...
Kwa anae jua kuhusu hizi printer za Epson M2140 Naombeni msaada juu ya utendaji kazi wake. Bei nimeona ni reasonable ila speed yake na ubora wake ndio cjui na pia mwenye anajua printer ya chin ya...
Habari!!!
naitwa sophy brown niko china natoka katika kamouni inaitwa travel of carman inajihusisha na uuzaji wa vipuli vya magari makubwa kama vile scania,faw,shacman,na mengine mengi ,kwa bei...
Habari wana jukwaa...,
Nyumba ya ghorofa inauzwa. Ipo Kigamboni sehemu moja inaitwa DEGE,.. ni kama 20 km's kutoka Ferry. Documents zote zipo(Hati). Ghorofa lina vyumba sita vya kulala vyote ni...
Hizi zimetumika katika biashara kidogo nikazihamishia katika matumizi ya nyumbani, zinafanya kazi vizuri, zote automatic moja ya kufua, kusuuza na kukamua, nyingine kwa ajili ya kukausha, wale...
MJ maziwa jumla tuna uzoefu wa miaka mingi wa kuzalisha maziwa na kutengeneza mtindi bora kabisa, kwa walioona na kunywa maziwa yetu watakubaliana na mimi
Tunazalisha na kutengeneza mtindi zaidi...
Kwa mwenye kuuza duka la dawa kigamboni nahitaji. Iwe ni biashara yenye vibali vyote muhimu na pia unioneshe daftari la mauzo na location iwe nzuri ya kueleweka.
Nicheki inbox tuzungumze zaidi.
Natafuta Gari aina zilizo tajwa hapo juu.(Gari inahitajika (Forester, Voltz, Xtrial, Vanguard au Alex)
Offer yangu Million 8.)
Gari iwe nzuri haijawahi kupata ajali na iwe kwenye hali nzuri). Of...
Ninauza Alizeti, Mashudu ya Alizeti, Mafuta ya Alizeti.
Pia, ninayo mahindi mapya mwaka huu, na Mahindi ya mwaka Jana. Alizeti ni ya mwaka Jana. Karibuni sana waungwana.
Pia, Kwa ushauri wa...
Mimi ni mkaaji wa Kenya na hapa waganga wengi matapeli tu. Kama kunaye yeyote anajuaye babu wa kweli kutoka pemba, Zanzibar, Moshi, Tanga au sumbawanga Tafadhali inbox me the contacts...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.