Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza simu yangu ya Samsung S10 5G Storage 256 gb Ram gb 8 500,000 0715 378899
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari zenu mabibi na mabwana, Natafuta gari ya kukodi Dar kwa muda wa wiki mbili au nne kutegemea na makubaliano. Nitakuwepo hapo Dar mwezi huu mwishoni, kama kuna mtu ana kampuni au anajua mtu/...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nauza destop Aina ya dell Bei 170,000/= Desktop Aina ya dell Ram 2 Hard disk 320GB CPU DUO 1.6Ghz Hali: Imetumika Mahali: Mkoa wa Dar es salaam Simu no 0658 106 630 Karibu.
0 Reactions
0 Replies
484 Views
POWER BACKUP Jipatie backup ya umeme ambayo inaweza kutunza power kwa zaidi ya masaa 8, Backup system inakuwa na inverter charger na battery. Unaweza kuunganisha na mifumo kama CCTV CAMERA...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Ios 16 compartible etc Airpods2=80k Airpods3=100k Airpods pro= 100k Airpods pro2 = 120k Free case , free delivery [emoji625]ubungo mawasiliano bus stand Instagram : Barakagadgets_tz 0627417113
2 Reactions
0 Replies
285 Views
Wakuu heshima kwenu..Tunauza tV za aina zote kwa bei poa sana...tunapatikana Arusha town hapa...kwa mahitaji yeyote nicheki kwa 0765360814 watsup na call kawaida .Karibuni sana.
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Dunia imebadilika sana kutokana na utekaji, mauaji, ubakaji na n.k. Tumeshuudia Tanzania watu wakitokea na bila kujua wapo wapi na mwisho wasiku hakuna msaada wowote na ukienda kuomba msaada...
0 Reactions
3 Replies
450 Views
Wakuu, Gari nimeshauza tayari.
1 Reactions
9 Replies
884 Views
Utakuwezesha kufatilia kinachoendelea kwenye biashara yako hata ukiwa mbali nayo.
0 Reactions
2 Replies
807 Views
Habari JF? Mimi nahusika na kutafutia watu viwanja na mashamba, nawaunganisha na wauzaji kwa bei nafuu kabisa. Kwa sasa nina kiwanja maeneo ya kisesa karibu na round about ya usagara, mita 200...
0 Reactions
4 Replies
976 Views
Natafuta business partner tufungue kijiwe cha kuosha magari hapa mjini Dar es Salaam. Mimi nina Pressure pump na vaccum cleaner. Tuchange fedha tupate eneo tuanze mdogo mdogo, aliye tayari au...
1 Reactions
2 Replies
856 Views
Habari wanaJamvi, Nauza mashine yangu ya kukamua mbegu zenye mafuta. Ina uwezo wa kukamua alizeti, nyonyo, karanga, nk. Inatumia umeme wa 3 phase model ggzx-80. Technical details za mashine zipo...
2 Reactions
14 Replies
3K Views
Ni Kinywaji ambacho hakiishii tu kuwa Kitamu Ulimini na Kooni bali pia huchoki hata Kukinunua na Kunywa mara kwa mara. Hakika Kinywaji kipya cha SUPA COMANDO kinachotengenezwa na Kampuni ya Pepsi...
3 Reactions
14 Replies
4K Views
Je, una wazo la kumiliki Kampuni yako Tanzania? Karibu Sharose Enterprise tupo kwa ajili yako. Jukumu letu ni kukupatia ushauri na kukufanikishia usaidizi wa usajili wa Kampuni yako. Watu wengi...
0 Reactions
2 Replies
847 Views
Habari wandugu Karibu tukuhudumie. Tunatoa huduma za kubadili documents toka Swahili to English or English to Swahili. Pia tunafanya Grammar check, conversion to pdf from/Excel, word. Bei zetu ni...
0 Reactions
2 Replies
398 Views
Ndugu zangu habarini,nimepata mashine ya kutengeneza popcorn nakarbisha support zenu Kwa tenda za harusi ukumbin. Pia hata MTU akiwa na connection na malls wanapocheza cheza watoto pia...
3 Reactions
2 Replies
532 Views
Ndugu zangu habarini, Nimepata mashine ya kutengeneza popcorn nakaribisha support zenu Kwa tenda za harusi ukumbin. Pia hata MTU akiwa na connection na malls wanapocheza cheza watoto pia...
1 Reactions
2 Replies
675 Views
TOSHIBA Used 2 months Dubai Clean 149 GB & 2 RAM 230k Piga au nitext hata whatsApp kwa 0627352709
1 Reactions
4 Replies
456 Views
Habari, Nahitajii mtu wa Marketing mwenye uzoefu wa kutafuta wanafunzi kwa ajili ya vyuo vikuu. Vyeti si muhimu, kama uko tayari nipigie tuongeee 0678650509. NB: Wakazi wa Dar tu.
3 Reactions
3 Replies
747 Views
Habarini mwaka ndo ushaanza hivyo, Ipo hivi unaweza ukawa unatafuta chumba au nyumba au hata kiwanja chenye specification flani unazotaka, lakini madalali watakuonyesha kitu tofauti kabisa...
12 Reactions
17 Replies
1K Views
Back
Top Bottom