Habari zenu mabibi na mabwana,
Natafuta gari ya kukodi Dar kwa muda wa wiki mbili au nne kutegemea na makubaliano. Nitakuwepo hapo Dar mwezi huu mwishoni, kama kuna mtu ana kampuni au anajua mtu/...
Nauza destop Aina ya dell Bei 170,000/=
Desktop Aina ya dell
Ram 2
Hard disk 320GB
CPU DUO 1.6Ghz
Hali: Imetumika
Mahali: Mkoa wa Dar es salaam
Simu no 0658 106 630
Karibu.
POWER BACKUP
Jipatie backup ya umeme ambayo inaweza kutunza power kwa zaidi ya masaa 8, Backup system inakuwa na inverter charger na battery.
Unaweza kuunganisha na mifumo kama CCTV CAMERA...
Wakuu heshima kwenu..Tunauza tV za aina zote kwa bei poa sana...tunapatikana Arusha town hapa...kwa mahitaji yeyote nicheki kwa 0765360814 watsup na call kawaida .Karibuni sana.
Dunia imebadilika sana kutokana na utekaji, mauaji, ubakaji na n.k.
Tumeshuudia Tanzania watu wakitokea na bila kujua wapo wapi na mwisho wasiku hakuna msaada wowote na ukienda kuomba msaada...
Habari JF?
Mimi nahusika na kutafutia watu viwanja na mashamba, nawaunganisha na wauzaji kwa bei nafuu kabisa.
Kwa sasa nina kiwanja maeneo ya kisesa karibu na round about ya usagara, mita 200...
Natafuta business partner tufungue kijiwe cha kuosha magari hapa mjini Dar es Salaam. Mimi nina Pressure pump na vaccum cleaner.
Tuchange fedha tupate eneo tuanze mdogo mdogo, aliye tayari au...
Habari wanaJamvi,
Nauza mashine yangu ya kukamua mbegu zenye mafuta. Ina uwezo wa kukamua alizeti, nyonyo, karanga, nk. Inatumia umeme wa 3 phase model ggzx-80.
Technical details za mashine zipo...
Ni Kinywaji ambacho hakiishii tu kuwa Kitamu Ulimini na Kooni bali pia huchoki hata Kukinunua na Kunywa mara kwa mara.
Hakika Kinywaji kipya cha SUPA COMANDO kinachotengenezwa na Kampuni ya Pepsi...
Je, una wazo la kumiliki Kampuni yako Tanzania?
Karibu Sharose Enterprise tupo kwa ajili yako.
Jukumu letu ni kukupatia ushauri na kukufanikishia usaidizi wa usajili wa Kampuni yako.
Watu wengi...
Habari wandugu
Karibu tukuhudumie. Tunatoa huduma za kubadili documents toka Swahili to English or English to Swahili. Pia tunafanya Grammar check, conversion to pdf from/Excel, word. Bei zetu ni...
Ndugu zangu habarini,nimepata mashine ya kutengeneza popcorn nakarbisha support zenu Kwa tenda za harusi ukumbin.
Pia hata MTU akiwa na connection na malls wanapocheza cheza watoto pia...
Ndugu zangu habarini,
Nimepata mashine ya kutengeneza popcorn nakaribisha support zenu Kwa tenda za harusi ukumbin.
Pia hata MTU akiwa na connection na malls wanapocheza cheza watoto pia...
Habari,
Nahitajii mtu wa Marketing mwenye uzoefu wa kutafuta wanafunzi kwa ajili ya vyuo vikuu.
Vyeti si muhimu, kama uko tayari nipigie tuongeee 0678650509.
NB: Wakazi wa Dar tu.
Habarini mwaka ndo ushaanza hivyo,
Ipo hivi unaweza ukawa unatafuta chumba au nyumba au hata kiwanja chenye specification flani unazotaka, lakini madalali watakuonyesha kitu tofauti kabisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.