International Conference
THEME
'Peace - the solution for humanity'
Conference Theme
Peace, internal and external be it on an 'individual' or at a 'worldwide collective' level is a...
Habarini za majukumu wakuu wa JF, mimi ni mmjasiriamali tarajali ambae najitahidi kukabiliana na hii kasi ya ukuaji wa gharama za maisha kwa kujitafutia senti za ziada kwa kila njia niwezayo...
Baada ya kui-miss bongo km miaka 2 hivi, sasa narud ndani ya wiki moja au 2 hivi.
Naomba ushauri nikija ni2mie mtandao gani wa simu yaan voda, tigo, zain nk. Nataka huduma reliable na bei cheap...
Gold deposits situated in the lake famous lake Victoria goldfields in Geita District of Mwanza region, northern Tanzania, East Africa are for sale. The deposits covers 104.65 sqm acres. Terms and...
WATU wasiofahamika, wamembaka mwanafunzi wa darasa la tano na kutupa maiti yake katika kisima chama maji.
Kaimu Kamanda wa Polisi, mkoa wa Tabora, Anthony Ruta, amewaeleza waandishi wa habari...
Mtoto wa afisa usalama wa taifa aishiye Mikumi Morogoro aliyekuwa akiendelea na mtihani wa kumaliza kidato cha nne unaoendelea kwa nchi nzima,amegongwa na gari wakati akiendesha pikipiki leo muda...
IRA General enterprises we are registered Civil and Building contractors,we execute construction projects at cheap rates with high quality call us;0784876210.We also undertake renovations of...
Hivi kwanini wajamaa wengi wanaotengeneza/kuuza samani za ndani hawana website,mpaka uwatafute? ni gharama au mazoea.. wateja watakuja tuu.... wachache hawaweki bei inakuaje hii
Price
$160
Contact information
Send PM
Is the item new or used
Used
-----------------------------------------------------
Product description
I have Upgraded to 24" (see pictures) so I wont...
Mwasu Sware
UKOSEFU wa maji katika maeneo mbalimbali nchini umekuwa sugu katika maeneo mbalimbali na kwa kiwango kikubwa, waathirika wakubwa wamekuwa ni wanawake.
Wamekuwa wakipoteza muda...
Wakuu nahitaji msaada wa CURRICULAR za masomo yafuatayo:
1. Certificate in Accountancy (CA)
2. Certificate in Human Resource Management
3. Certificate in Nursery School (Education) teaching...
Wakuu,
Nimepokea ujumbe kuhusiana na kupotea kwa mtoto ANNA MUNYASA huko Uingereza. Nimefanya search kwenye net kuangalia kama kuna habari zozote zilizoandikwa na kama kuna detailed...
Ndugu wadau napenda kuwatangazia kwamba ninauza projector aina ya Sony. ina siku 20 tangu niinunue toka dubai , bei yake ni shilingi 1,300,000 ( milioni moja na laki tatu.
Mimi kwa sasa nipo...