Tripo9
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 4,352
- 3,533
Baada ya kui-miss bongo km miaka 2 hivi, sasa narud ndani ya wiki moja au 2 hivi.
Naomba ushauri nikija ni2mie mtandao gani wa simu yaan voda, tigo, zain nk. Nataka huduma reliable na bei cheap.
Pili kama kuna m2 anajua nawezakupata chumba maeneo karibu na Airport Dar, nyumba yenye gate ntashukuru sana. Ningependa kulipia labda miezi mi3 coz sijajua mishughuliko yangu ofisi ita base wapi. Sitamaind kama chumba kitakua mbali na airport bali ingenirahisishia sana km ikiwa hivyo.
Ni hayo 2.
Naomba ushauri nikija ni2mie mtandao gani wa simu yaan voda, tigo, zain nk. Nataka huduma reliable na bei cheap.
Pili kama kuna m2 anajua nawezakupata chumba maeneo karibu na Airport Dar, nyumba yenye gate ntashukuru sana. Ningependa kulipia labda miezi mi3 coz sijajua mishughuliko yangu ofisi ita base wapi. Sitamaind kama chumba kitakua mbali na airport bali ingenirahisishia sana km ikiwa hivyo.
Ni hayo 2.