Mtoto wa afisa usalama wa taifa aishiye Mikumi Morogoro aliyekuwa akiendelea na mtihani wa kumaliza kidato cha nne unaoendelea kwa nchi nzima,amegongwa na gari wakati akiendesha pikipiki leo muda wa saa 11 jioni na kufa pale pale.
Kwa habari zaidi muulizeni kamanda wa jeshi la polisi Morogoro ndg Andengenye.
Kwa habari zaidi muulizeni kamanda wa jeshi la polisi Morogoro ndg Andengenye.