Hivi kwanini wajamaa wengi wanaotengeneza/kuuza samani za ndani hawana website,mpaka uwatafute? ni gharama au mazoea.. wateja watakuja tuu.... wachache hawaweki bei inakuaje hii
Mi mwenyewe nawashangaa. In fact hawataki kwenda na wakati. Nimekuwa nikitafuta makabati ya nguo this week, niko busy ofisini mpaka jioni sana, lakini nikisurf sioni kitu. Sasa mwenye makabati ya nguo yenye viwango vya kimataifa awasiliane nami kwenye mutensa@live.co.uk
Itakuwa vema ukinitumia picha nizione kabla sijachoma mafuta. It is about being serious in business.
mtafuten jamaa mmoja humu ndani (JF) anajiita mjasiriamali kama skosei, anafanya kazi hiyo na aliwahi kuweka pcha nzuri sana humu