Kisusi Mohammed
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 563
- 468
Habarini za majukumu wakuu wa JF, mimi ni mmjasiriamali tarajali ambae najitahidi kukabiliana na hii kasi ya ukuaji wa gharama za maisha kwa kujitafutia senti za ziada kwa kila njia niwezayo.
Naamini humu kuna wadau wengi wenye kulima japo kwa msimu na kwa kutegemea mvua. Basi kwa kulihisi hilo nikaona si vibaya nikiwajuza ya kwamba kwa wale wenye mashamba maeneo ya kati ya Morogoro mpaka Dodoma wanaolima kwa kutumia TREKTA na huwa wanakodi trekta hilo basi wanaweza kunipa mimi hiyo kula ili nami niweze kulipa angalau bili ya umeme na maji.
TREKTA langu lipo maeneo hayo, na linaweza kwenda popote kati ya Moro na Dom kulingana na makubaliano ya muhtaji wa huduma hiyo.
Tazama picha kuona trekta lenyewe.
Endapo utahitaji huduma hiyo wasiliana nami kwa namba zifuatazo:
Wazee wa Extreme: 0715 555 512
Wazee wa Jirushe: 0787 111 123
Wazee wa Vodajamaa: 0768 111 123
Zantel Mtelezo: 022 550 5970
Naamini humu kuna wadau wengi wenye kulima japo kwa msimu na kwa kutegemea mvua. Basi kwa kulihisi hilo nikaona si vibaya nikiwajuza ya kwamba kwa wale wenye mashamba maeneo ya kati ya Morogoro mpaka Dodoma wanaolima kwa kutumia TREKTA na huwa wanakodi trekta hilo basi wanaweza kunipa mimi hiyo kula ili nami niweze kulipa angalau bili ya umeme na maji.
TREKTA langu lipo maeneo hayo, na linaweza kwenda popote kati ya Moro na Dom kulingana na makubaliano ya muhtaji wa huduma hiyo.
Tazama picha kuona trekta lenyewe.
Endapo utahitaji huduma hiyo wasiliana nami kwa namba zifuatazo:
Wazee wa Extreme: 0715 555 512
Wazee wa Jirushe: 0787 111 123
Wazee wa Vodajamaa: 0768 111 123
Zantel Mtelezo: 022 550 5970