Mkuu Invisible na wataalam wengine wa IT
Nimekuwa napigana vita na PC yangu kwa muda sasa na nataka kuweka security kubwa zaidi maana nimechoka na attacks za kila mara.
Mwanzoni nilikua...
Kwa mliopo mjini nadhani mnafahamu kuhusu msiba uliomkumba huyu balozi wetu wa bintiye na kwa taarifa tu ni kuwa mazishi yamefanyika leo leo...inshaalah nitawaupdate kuhusu taarifa za KHITMA...
Dear ONE Member,(Kiuyajibu)
Throughout Africa, there is notable progress being made toward reaching the Millennium Development Goals, from halving extreme poverty to stopping the spread of...
Nyumba inapangishwa iko Tegeta -Nyaishozi- karibu mita 500 tu kutoka barabara ya lami -bagamoyo road (upande wa beach). Ina vyumba viwili vya kulala-mojawapo ni selfcontained, ina sebule, dining...
15th July 2009
Mkulima mmoja wa kijiji cha Mapango Wilayani Kondoa, amejeruhiwa vibaya baada ya punda wake kumbwaga chini.
Sasa mtu huyo aitwaye Ramia Husseni, 29, amelazwa...
Ziko Mwananyamala A, DSM. Ni za kisasa na hadhi ya juu kabisa na vitu vifuatavyo;
Electrical fence, kwa ujumla mfumo wa kisasa wa ulinzi, A/C full kwenye "master" na sebuleni, vyumba 3 vyakulala...
Wadau niko kimya sana
ila narudi na mambo mapya
Gari inauzwa VX nzima inatembea ni mpya bei milioni 28. haijaenda bodi hata mara moja, na ukitaka nakufuata kama mteja kweli uione ni ya Petrol...
Kwa muda mrefu sijaweka post yoyote hapa kwa sababu zisizozuilika ingawa huwa napitia haraka haraka topiki mbalimbali zinazoongelewa. Hata hivyo, siku za mbeleni nitakuwa active tena hasa kwa vile...
Honda CRV (1997, Metalic Silver,in good condition, registered and comprehensive insurance on road in Dar, For Sale 12 million no bargain!) Kwa wenye nia ya kununua tafadhali tuwasiliane kwa email...
Naomba kuuliza.
Kuna Land Cruiser Prado mbili zote za 2001, zote ni automatic, 90 series, rangi tofauti (nyeupe na silver), kilometer moja ni 65,000 na nyingine 88,000, lakini moja ni Petrol...
Ipo Kigamboni maeneo ya ungindoni. Bei ya kuanzia ni M 38. maelewano
Imekamilika ila haina fence but reserved for parking and other development.
Kwa walio sirias wasiliana na mmiliki 0717 221289...
Heshima mbele wakuu..
Ndo kama hivyo natafuta gari ya kutumia mi mwenyewe iwe ni Honda na iwe ni model ya kuanzia 2002.
Kama kuna mdau anayo aweke details then tuongee biashara.
ABIRIA zaidi ya 60 waliokuwa wakisafiri katika basi la abiria linalotambulika kwa jina la Harambee Bus linalofanya safari zake kati ya Dar Arusha walinusurika kufa baada ya basi hilo kupinduka...