MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,565
- 836
Ndugu wanaJF nasikitika kutangaza kifo cha Silas Thomas Kibwana wa Temboni kilicho tokea juzi majira ya saa kumi na moja jioni hivi. Marehemu alikua mkutanoni Morogoro. Akiwa hotelini ghafla alijisikia kuishiwa pumzi na kupiga simu reception. Marehemu alikutwa na mauti muda mfupi baada ya kufika hospitalini. Natuma huu ujumbe mtandaoni kama kuta kuwa na ndugu, jamaa na marafiki zake ambao wapo JF na kwa sababu moja au nyingine hawa kupata taarifa.
Kama kuta kuwa na yoyote mwenye swali nita pita humu ndani kadri ya uwezo wangu ili kujibu maswali. Marehemu ana safirishwa kwenda kwao Lutindi, Korogwe kesho. May his soul rest in eternal peace.
Kama kuta kuwa na yoyote mwenye swali nita pita humu ndani kadri ya uwezo wangu ili kujibu maswali. Marehemu ana safirishwa kwenda kwao Lutindi, Korogwe kesho. May his soul rest in eternal peace.