Ambassador
JF-Expert Member
- Jun 2, 2008
- 933
- 75
Jamani mimi naipenda ile nyumba inayoonekana kwenye tangazo la Sajili na Ushinde la Tigo. Kuna mtu mwenye picha inayoonekana vizuri ya nyumba ile au amabaye anafahamu naweza pata wapi ramani yake?
Hiyo ndo gharama ya contractual work? Negotiable?kama una million 4. sema utengezewe hiyo nyumba..!
Hiyo ndo gharama ya contractual work? Negotiable?
huyo jamaa walitajadau la milioni 4 naweza kumuhusisha na ccm...pesaa mbele!!! kama ni picha ambassador najaribu kutafuta...free of charge
mkuu ambassador hatafuti picha ya nje..! anataka kutumia picha ya nje na utengeneza ramani ya ndani bila kubadili muonekano wa nje.
tena 4M ni msaada tu kwa kuwa ni mwana jamvi.
Niko serious sana, na kama ulisoma mawazo yangu vile. Nahitaji kwa nje itoke vile vile ingawa kwa ndani tunaweza cheza nayo na huyo archtecture. Kama unayo please help!mkuu kama upo serious hiyo kitu unapata na wala sitaki hata senti mpaka uridhike na kazi....!!!! wewe tu!
Niko serious sana, na kama ulisoma mawazo yangu vile. Nahitaji kwa nje itoke vile vile ingawa kwa ndani tunaweza cheza nayo na huyo archtecture. Kama unayo please help!
huo mnaotaka kuufanya ni wizi .............
namshangaa mtu anasema ati mmoja anao mchoro awape na wenziwe................sasa anatarajia architects wale wapi?
nchi haiwezi kuendelea kama hatujaheshimu professions za kila mtu
Ethics za architects zinakataza ku copy kwa aina yoyote ile kazi ya mwenzio bila ya kuwasiliana na original creator wa hiyo kazi..........wewe unalengo la kumtafuta?
Ethics za architects zinakataza ku copy kwa aina yoyote ile kazi ya mwenzio bila ya kuwasiliana na original creator wa hiyo kazi..........wewe unalengo la kumtafuta?
mimi ni halfcast..!