A small family of four will be looking for a 3-4 bedroom house at Msasani, Kawe beach, Mikocheni or Mbezi Beach for long term lease starting 1 December 2010. Budget USD 300-350. Please contact...
Jamani ndugu zangu wapendwa, kuna mdogo wangu anatarajia kuhamia Tanga kikazi na kwa hivi sasa anatafuta nyumba ya kupanga. Kwa kuwa anaanza maisha na mambo ni mengi anatafuta nyumba ya vyubma...
iwe na vyumba 3 au 2 na bei ni laki kwa mwezi.
mahala popote dar kunakofikika na usafiri.
Nataka kuhama hapa nilipo kwani mwanangu mchanga ameugua malaria three times a month na maji yanatuama na...
Wakuu habari za kazi,
Kuna ndugu yangu anatafuta gari ya kununua,Suzuki Escudo 5d,Ataitumia kijijini,(hali ya barabara sio nzuri sana) ,Kwa hali hiyo anataka iwe na hali nzuri,isiwe imetembea...
Napenda kuwakaribisha Kwenye usakilizaji wa Kipindi cha Teknohama Katika Morning Star Radio 105.3 fm hapa jijini dare s salaam kuanzia saa 3 Asubuhi siku ya jumapili yaani Kesho .
Kesho...
Wpendwa katika bwana napenda kutoa shukran kwa wale wote walioshiriki
pamoja nami katika kumwaga bibietu bibi anna kipingu alietwaliwa na mungu
katika ulimwengu wa dunia hii na kwenda kuandaa...
As received:
MUALIKO WA KIKAO CHA WANA JUMUIYA YA - LONDON
Uongozi wa muda wa Jumuiya ya Watanzania - London umekamilisha kazi mliyotupa ya kutengeneza mfumo mpya wa kiuendeshaji pamoja na...
Plot yenye ukubwa wa 450 SQm inauzwa. ipo maeneo ya savei katika decent neighbourhood na inafaa sanaa kwa ujenzi wa nyumba ya makaazi au hata biashara kwa maana ya hostels kwakuwa ipo karibu sana...
A house is for sale at Ubungo NHC (formely owned by NHC) behind Ubungo Plaza.
LOCATION: Premier Area; Ubungo National Housing
PLOT SIZE: 36 X 15
HOUSE SIZE: 2 bedroomed, a sitting, toilet and a...
Ndugu Wana JF,
Nimekuwa natumia kupiga simu nyumbani Tanzania kutoka huku niliko (Finland) kwa kupitia intervoip na nikahamia actionvoip. Kuhama kwangu kulitokana na gharama kupanda. Kwasasa hata...
CLEARCO HD9000-from UK,(HD ready) Multi-use high spec projectors.
It's amazing built in TV tuner and ability to connect to DSTV box
watch World cup matches and other programes.
-Projection size...
Siku za Mwanadamu za kuishi hapa duniani zinahesabika...
Kwa wale woote wanaomfahamu Uncle wetu huyu ambaye alikuwa anafanya kazi katika kampuni moja ya clearing & forwading basi mnaarifiwa...
Duka kuuubwa na la kisasa la kuuza nguo za Mtumba kwa wasichana na kina mama limefunguliwa Sinza Mugabe.
Duka linaitwa El Clasico liko Sinza Mugabe karibu na hotel ya City Style.
Nimeona...
Tired of changing batteries, buying kerosene and sniffing carbon emissions?
Try this new Product! A New Product on renewable energy category has emerged. An alternative to solar lighting!!
A CRANK...
Nyumba 2 zinapangishwa
1 @ Mtoni kwa Aziz Ally ndani ya compound self contained (vyumba viwili vya kulala, sebule, jiko, choo na bafu) maji umeme na usalama upo
2 @ Mbagala Charambe iko katika...
:angry:Wandugu
please kuna channel 2 za kitanzania zinapatikan katika Eutelsat W2A (10°E),TBC 1 na channel 10. kwa sasa zaonekana ni za kulipia. je ni taratibu gani za kupata smart card?
nashukuru
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.