Katika maisha haya tunayoelekea ya kupambana kurudisha heshma ya nchi! Nawakumbuka wapiganaji fulani tukiwa Tumainin Sekondari Kinampnda. !Hawa walikuwa ni watundu katkka kupinga mambo maovu ya uongozi wa shule!nakumbuka majina yao ni Maige ,Kephas,FRED NA Timothy INAWEZWKANA WAPO HUMU ,NIPENI TAARIFA ZAO!