Logo
JF-Expert Member
- Jan 26, 2011
- 588
- 48
Kama kuna mtu jamani hapa JF anajishughulisha na mambo ya filamu, kuna idea na script za filamu kali sana zinauzwa na kwamba mtunzi yupo tayari kushiri na ukiziona utakubali mwenyewe lazima zitoke bongo nzima! Ni zenye maadaili na zinaonyesha maisha ya watu wacha Mungu wanavyoyajihusiaha na masuala ya mahusiano!
Niibox tuendeleze mpangilio!
Niibox tuendeleze mpangilio!