Namuombea Mungu amuweka mahali pema Amani Nzigule,mwanaharakati mahiri ambaye alitetea demokrasia kwa nguvu zote hapa nchini,kwa wale waliokuwa Bima enzi hizo nafikiri mtakuwa mnamkumbuka Amani...
Habari wakuu,
Naomba mwenye info kuhusu car dealer / agent yeyote anayeratibu ununuzi wa gari (used in japan or tz) katika malipo ya awamu (esp. hapa DSM) anijuze tafadhali. Mfano gharama ya ni...
wakuu, nataka kuagiza Toyota Hilux Surf 1999 Sports Runner model yenye specifications zifuatazo: year 1999, odometer 74,000, 2700 cc, automatic, petrol, 3RZ engine. kama kuna mtu anafahamu...
Nyumba ina vyumba vinne ikiwemo master (chumba kimoja kikubwa kimefungwa taa maalumu za kusomea), sitting na dinning jiko na store yake, public toilet, full tiles (jikoni na vyoo full hadi kuta)...
Wakuu salaam!Eee bwana nauza gari aina ya Coaster kama ifuatavyo!
Model:HDB31
Aina:TOYOTA COASTER
MODEL yake ni Box Body
Engine type:1 HDT
Year of Manufacturer 1990
Year of Ist Registration in...
Ipo katika eneo zuri. (mwananyamala)
Nyumba pamoja na eneo kubwa la kujenga nyumba nyengine.
Bei maelewano.
Ipo sinza jirani na flat za BOT.
Bei poa
Serious buyer tafadhali piga 0715 262 431
Naomba msaada jinsi ya kutengeneza mandazi ya kumimina(sina uhakika na jina)
Huku nilipo sasa hivi vitafunio ni Toast,bacon,sausage and baked beans(english breakfast), hii imenishinda na...
Naomba msaada, nahitaji gari kwa ajili ya kwenda mkoani iwe imara na ikiwezekana nipate 4x4.
Nahitaji kwa wiki moja tu. Kama itapatikana kuanzia Jumatano ijayo basi tuwasiliane kwenye PM yangu.
Hi, nina cresta reg AWY ipo kwenye hali nzuri naiuza 7.2m millage 120000 model 1998 rangi ni cream (palewhite) ina alloy rims DVD radio, kama upo interested nipigie/nitext 0786 66 67 67.
Tafadhali .Naomba msaada kwenye mambo ya fuatayo kuhusu Design ya Gazeti(Tabloid)
1 jinsi ya kuset vipimo vya gazeti(Tabloid) la kurasa kumi na sita
2.jinsi ya kuseti center pages.
3. jinsi...
Mwenye Gari DCM TOYOTA(GOBOLE) ambalo ninatatembea au limesimama na bodi yake iwe haijachomwa bei 8M nataka kuanza biashara mbagala mwenge. au hata kama linatembea lipo barabarani, KWa upande wa...
nyumba ni self contained vyumba 3 vya kulala, jiko na sebule
sh. 9mil inaweza kupungua
ipo mbezi juu karibu na baraza la mitihani
ukitaka kuiona wasiliana na namba 0756626298.
Chumba kimoja kwenye nyumba ya vyumba sita vya wapangaji kinapangishwa eneo la sinza Block C walking distance toka Chuo Kikuu cha Da res salaam. Kodi ni shilingi za Tanzania hamsini elfu kwa...
Wakuu habari za leo;
Jana niliweka post kwamba tunahitaji msichana kufanya kazi za secretarial, nashukuru kwa maoni ya wadau kadhaa tumefanikiwa kumpata mtu.
Kampuni yetu ni ndogo na ni mpya...
Wana JF naomba kuelimishwa kidogo kuhusu bei ya magari katika mtandao wa Tradecar view kabla sijamnunulia dada/shemeji yenu, katika pitapita yangu ndani ya mtandao kuna kitu kimenishangaza sana...
Mambo vipi humu ndani?
Wanajamii mwenzenu nataka kununua gari 4WD, ammbayo ni Landrover discovery, please naomba kwa wenye uelewa mnisaidie kuchambua ni aina gani/version ipi ya discovery ni...
Nyumba inauzwa:
Mahali: Yombo Buza - karibu na kituo cha kanisani
Umbali: Mita 100 kutoka barabarani
Ilivyo: Vyumba 2 na master bedroom, kitchen, sebule na stoo
Mengineyo: imepigwa bati...