Duh! Ndugu mbona ghali hivyo? Amazon wenyewe wanauza less than 200 USD. Hata ukiweka gharama za kusafirisha haifiki huko. Halafu pia ukumbuke watumiaji na matumizi yake machache.
Wana Jamii!
Ninauza Amazon Kindle (book reader) pamoja na Leather Cover yake ambayo ina taa kwa ajili ya kusomea katika giza.
View attachment 26255
Black Leather Cover with Light
View attachment 26256
Bei = USD 320
Kwa anayehitaji, unaweza kuni-PM.
Duh! Ndugu mbona ghali hivyo? Amazon wenyewe wanauza less than 200 USD. Hata ukiweka gharama za kusafirisha haifiki huko. Halafu pia ukumbuke watumiaji na matumizi yake machache.
Kwa hapa bongo kweli itakuwa ni value for money nikinunua hiyo kitu,kwaani nakaa Litumba njosi huko kwenye bombi hii nyumba hiiWana Jamii!
Ninauza Amazon Kindle (book reader) pamoja na Leather Cover yake ambayo ina taa kwa ajili ya kusomea katika giza.
View attachment 26255
Black Leather Cover with Light
View attachment 26256
Bei = USD 320
Kwa anayehitaji, unaweza kuni-PM.
Kaka hii ni ebook reader.hiyo ni nini na inatumikaje?
Mzee hii kitu ina 3g na wi-fi: kwa hiyo unaweza kuwa umetulia sehem yenye wireless unakunywa kahawa baridi na kushusha vitabu unavyotaka (kama una akaunti ya paypal) bila wasiwasi wowote.Hivi hiki kifaa kinaeza kutumika bongo kwa maana ya kununua vitabu? mashaka yangu sie watumiaji tusije tukabaki na kitu obsolete. anyone?
Mzee hii kitu ina 3g na wi-fi: kwa hiyo unaweza kuwa umetulia sehem yenye wireless unakunywa kahawa baridi na kushusha vitabu unavyotaka (kama una akaunti ya paypal) bila wasiwasi wowote.
sasa akaunti ya Paypal wapi na wapi TZ ndio aliyosema Abudulhalim,vitu vingine huko bongo ni ukivileta ni bora uvipeleke jumba la Makumbusho kwani sidhani kama vinaweza kutumika kwa lengo lililokusudiwaMzee hii kitu ina 3g na wi-fi: kwa hiyo unaweza kuwa umetulia sehem yenye wireless unakunywa kahawa baridi na kushusha vitabu unavyotaka (kama una akaunti ya paypal) bila wasiwasi wowote.