weka picha, tuithaminishe.
Mimi siyo muuzaji na wala siyo dalali, ila niletewa habari na jirani wa hapo panapouzwa aliniambia kama nataka nikaangalie. Nilienda kuangalia ila sina hela hiyo kwa sasa nina majukumu mengine. Ndio nikaona niwajulishe wana JF.
sasa kwa nini tuku PM wewe? weka namba ya huyo mtu hapa.
Ha ha haahaaaa ingekuwa Wabongo wote tuna scrutinize vitu namna hii mbona tungeendeleaTitle yako inasema nyumba inauzwa keko ml. 5, ukiingia ndani unakutana na "Banda linauzwa inauzwa Keko Toroli, mil.5". Au Banda ni nyumba?
hatimae nimefika ni banda zuri kama vyumba vitatu na kana fasi ka hatua 5 kwa tano(mita) lakini iko katikati ya nyumba nyingine
kufika hapo ni uchochoro,si mbaya kama uanazo unanunua unakarabati na kupangisha! nendeni kama mna hela
Banda linauzwa inauzwa Keko Toroli, mil.5
Kama upo interested ni PM
Happy Fools Day too...
Happy Fools Day too...