Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kiwanja/viwanja vinauzwa kwa ujumla. Hekari 20 kwa mil 70. Eneo lipo kiluvya maeneo ya kwa Sumaye(waziri mkuu mstaafu). Ni umbali wa kilomita 9 toka barabara ya Dar-Morogoro. Kwa mawasiliano...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wana jf! Kuna kiwanja chenye hati kinauzwa bei chee kiko kipawa mpya aka kwa mbike na kiko tambarare ni vile viwanja waliopewa watu waliohamishwa kipawa kupisha ujenzi wa uwanja wa ndege...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ipo Kimara Temboni Saranga. Ina vyumba vitatu vya kulala, sebure, gereji na jiko. Haijakamilika. Ipo katika kiwanja chenye ukubwa wa mita 34 kwa 26. Bei shilingi 25mil. Maelewano yapo. Kwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
SHIMI ENTERTAINMENT tunatoa huduma za Music na MC, Photo and Video Shooting kwenye sherehe na shughuli mbalimbali. Pia tunafanya promotion za bidhaa mbalimbali kwa street music na dancers. SHIMI...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kipo KIBAMBA CCM. Kina ukubwa wa heka moja. Kipo mita 50 kutoka barabara ya Morogoro. Bei shilling 20mil. Kwa maelezo ya ziada piga simu 0717114409.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
. Ipo Mbezi Shamba kwa mzungu pembezoni mwa barabra iendayo Mbezi Makabe. Ipo katika kiwanja chenye ukubwa wa mita 29 kwa 27 Ina vyumba vitatu vya kulala, masta na jiko. Haijakamilika. Bei...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa mahitaji ya kutengenezewa Magazine, logos, brochures,matangazo kwa bei nafuu wasiliana nami kupitia email: ckundawa@gmail.com or cell 0718656164
0 Reactions
0 Replies
995 Views
tsup wana jf? Natafuta laptop yenye full size keyboard na yenye widescreen! Iwe hp,cmpq,tshb au del na yny spec latest as webcam,2ghz prcr,320gb hdd,2gb ram.. Yeyote ambye anaweza kunisaidia...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Napenda kutoa ushauri kwa wanaJF kuwa, ni vyema tukawa na sikukuu yetu ambayo pamoja na mambo mengine itatoa tathmini kuhusu michango mbalimbali inayotolewa na mbember wa JF. Pawepo pia na mshindi...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Ipo Mbezi Shamba kwa mzungu pembezoni mwa barabra iendayo Mbezi Makabe. Ipo katika kiwanja chenye ukubwa wa mita 29 kwa 27. Ina vyumba vitatu vya kulala, masta na jiko. Haijakamilika. Bei...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nahitaji kuingia kwenye jukwaa la mambo ya kikubwa,nifanyeje??
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Gari hizi ni aina ya Toyota,mbili ni Toyota corona na moja ni Toyota corola E100,Zote ni rangi nyeupe,sports ream,hatu uzi gari moja moja,unashauriwa kuja na fundi wako wakati wa kununua,they are...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Iwe Chumba sebule, Jiko na choo. Bajeti ni Tsh 150000 kwa mwezi malipo ya mwaka mzima yapo tayari. Mwenye nayo aniPM.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wakuu, nina noah ya mwaka 2001 na nimeiingiza tz sept 2010, odo inasomeka 142880. Kutokana na ugumu wa maisha na kupanda kwa bei ya petrol nimeshindwa kuimudu. Kuna jamaa kapatikana anataka...
0 Reactions
15 Replies
9K Views
Earn $2000/month via part time jobs. Easy form filling data entry jobs Earn $1500-2500 per month from home. No marketing / No MLM . We are...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Very luxury spacious Villa fixed with Split A/C, ceramic tiles flooring, 4 Bedrooms ( 2 bedrooms with toilets & bathrooms), separate Living and dinning rooms, small garden & car park, available...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
nina sony imeua motherbord,nauza kama spea,inakilakitu,model nomber VGN-FJ270 kama vipi piga 0655945598
0 Reactions
0 Replies
882 Views
haya habar njema,ukitaka full movies HD quality 4 free in yo mobil phone jus go to o2cinemas.com,tayar nshadaunlod k2 inaitwa The Source Code
0 Reactions
0 Replies
1K Views
....natafuta mtu wa kubadilishana nae stuffs lyk movies,programs n.k,mimi ni mpenzi sana wa vitu hivyo so i wish nikapata watu wawili watatu wenye hobies kama zangu,library yangu ya movies ina...
0 Reactions
70 Replies
7K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…