Kitabu JF-Expert Member Joined Jan 7, 2011 Posts 313 Reaction score 29 Apr 24, 2011 #1 Nahitaji kuingia kwenye jukwaa la mambo ya kikubwa,nifanyeje??
payuka JF-Expert Member Joined Jun 17, 2010 Posts 829 Reaction score 128 Apr 25, 2011 #2 m-pm Invisible atakupa access Ila wenzio sasa wanamuomba invisible awasaidie watoke.. kwa mambo waliyoyaona humo yamepitiliza hata kwenye utu uzima!
m-pm Invisible atakupa access Ila wenzio sasa wanamuomba invisible awasaidie watoke.. kwa mambo waliyoyaona humo yamepitiliza hata kwenye utu uzima!
Mshume Kiyate JF-Expert Member Joined Feb 27, 2011 Posts 6,764 Reaction score 903 Apr 25, 2011 #3 Mjema juniour said: Nahitaji kuingia kwenye jukwaa la mambo ya kikubwa,nifanyeje?? Click to expand... Mkuu unapenda mambo matamu ehee?
Mjema juniour said: Nahitaji kuingia kwenye jukwaa la mambo ya kikubwa,nifanyeje?? Click to expand... Mkuu unapenda mambo matamu ehee?