Kacharimbe
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 211
- 34
Wakuu, nina noah ya mwaka 2001 na nimeiingiza tz sept 2010, odo inasomeka 142880. Kutokana na ugumu wa maisha na kupanda kwa bei ya petrol nimeshindwa kuimudu. Kuna jamaa kapatikana anataka kuichukua anipe toyota platz au nadia. Bahati mbaya hizo gari sijawahi kuzitumia ila kaniambia platz in cc 1000 na nadia cc 1500 na anafahamu kuwa fuel consumption ya gari hizo ni ndogo sana. Naomba waliotumia gari hizo wanisaidie kuhusu mambo mengine kuhusu gari hizo kama vile uimara na bei zake kwa sasa maana amesema ataniongeza na hela kidogo. Mimi gari yangu naithamanisha m14. Msaada please