Mimi nimechoka kabisa, hivi kwenye kununuwa gari fundi anahusikaje? au unauza mfano wa gari?
Gari hizi ni aina ya Toyota,mbili ni Toyota corona na moja ni Toyota corola E100,Zote ni rangi nyeupe,sports ream,hatu uzi gari moja moja,unashauriwa kuja na fundi wako wakati wa kununua,they are available all the time.
Wasiliana na
0719009968.
0687132625