Ipod

rakeyescarl

JF-Expert Member
Dec 9, 2007
481
145
Jamani natafuta Ipod kwa bei nzuri hata kama ni used lakini ikiwa kwenye hali nzuri,naomba mwenye source ani julishe au ani PM.
Natanguliza shukurani,
RE.
 
Jamani natafuta Ipod kwa bei nzuri hata kama ni used lakini ikiwa kwenye hali nzuri,naomba mwenye source ani julishe au ani PM.Natanguliza shukurani,RE.
Ninazo mbili 5th Generation Ipod80Gb ni laki mbili na elfu thelahini na tano30Gb ni laki moja na efu themaniniKama unazihataji mojawapo ni PM
 
Back
Top Bottom