Plots ziko mita 500 kutoka beach na zingine zinatazama barabara kuu ya kwenda ferry eneo la changani beach km 20 kutoka ferry,bei ni tsh 5000per square metre zimepimwa(surveyed).kwa maelezo...
Wanajamvi ...
Sijui kama hili ni jukwa sahihi lakini naomba msaada...
Ninafanya maadalizi ya kuwapeleka wafanyakazi wenzagu (15) visiwani Zanzibar (bila familia zao) kupumzika siku nne na...
............Wakuu naomba msaada wa kupata gari aina ya Toyota Nadia ambayo nitanunua kwa mtu...aliye na data anipe..specifications is as follow:
Isiwe imetumika kwa zaidi ya mwaka mmoja
Injini...
SYALI PRINTERS AND STATIONERS
Syali printers and stationers tuko mikocheni kwa mwalimu,
kwa mahitaji yako yote ya printing aina zote,steshenari na vifaa vya maofisini
Bei zetu...
DIASPORA 3 LONDON, 6TH AND 7TH MAY 2011
The Tanzania High Commission in London in collaboration with the Tanzania Association in the UK (TA-UK) are organizing a Tanzania Diaspora...
We offer the following installation services at a very affordable prices:
Security Cameras (CCTV)
Electrical Fences
Alarm Systems
Motor Gates
Security Lights
Video phones
We can also:
Install...
Nimetengeneza magazine la burudani,fashion na burudani so kwa yeyote mwenye uwezo wa kuriprint na kulimiliki awasiliane nami kupitia email. ckundawa@gmail.com
au cell no 0718656164 n 0715220004...
Kiwanja chenye ukubwa wa mita 20x23 kinauzwa, kipo kitunda kivule tsh 2,500,000/=, maelewano yapo, pia kina matofali 600 nayauza kwa 550 kila moja.
Wasiliana nami kwa simu namba 0713-357542.
mashamba yenye ukubwa kuanzia hekari moja na kuendelea,yanapatikana/yanauzwa maeneo ya msolwa chalinze barabara ya morogoro,kwa mawasiliano piga na:0717012656
Tuna uza DVD-R, DVD+R, DVD-RW, DVD+RW NA CD-R, CD-RW, KWA BEI YA JUMLA NA REJAREJA. PIA TUNAUZA DVD COVER NA CD COVER ZA AINA MBALIMBALI MF 14MM,10MM, 7MM,10.5MM, 9MM.
VILE VILE TUNA BIDHAA...
Wakuu nauza Toyota harrier just imported from Japan in March
KM;126,000
Year of manufacture;1999
CC;2200
Drive;automatic
Price;Tshs 18,000,000/=
Color;Beige Cream
Nitaweka picha soon...
Jamani kuna nyumba inayopangishwa Kiseke Mwanza, ni nyumba ya PPF, ila imeongezwa zaidi, imepigwa plasta na rangi nzuri, ina vyumba vitatu masterbedroom na vingine viwili, ina gate na fence, ina...
Wana JF jamaa yangu amenipa taarifa kuwa Ujenzi wake wa nyumba ya vyumba nane imekamilika kwa anayetaka kupanga
Nyumba hii ina
1-Maji
2-Umeme
3-Tank la kuifadhia maji
4-Choo cha kisasa viwili cha...
Natafuta nyumba ya kupanga ya kujitegemea iwe na vyumba viwili au vitatu..master na kawaida,sebule,dining, jiko na parking mitaa ya kinondoni,mikochen,kijitonyama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.