Wakuu, kabla sijaingiza kagari kangu sokoni naomba wale weledi wa mambo ya kodi mniambie tax implications za kuuza gari yenye tax exemption, iliingizwa Tanzania Mwezi March 2008.
Kwa ufahamu wangu mdogo mnunuzi akitaka kuhalalisha mabadiliko ya umiliki say jina kwenye registration card atapaswa kulipa kodi. Hii husababisha kupungua kwa thamani ya gari sokoni haswa ukizingatia kwamba wengi hawataki usumbufu. meanwhile nadhani thamani ya gari inakuwa na depreciation so nakushauri ukailipe mwenyewe kabla ya kuingia sokoni. obvious itakuwa pungufu ya ambavyo ungelipa hiyo 2008 (hii itakunufaisha zaidi sokoni naamini).
Hiyo tax exemption ilishakwisha hapo check na TRA utajua kwani inakuwa valid for 3 years tu kama ulipata kama mfanyakazi. Kila baada ya miaka hiyo unaweza kupata tena exemption na iliyopita inakuwa sio valid tena
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.