Ipo eneo la Samaki. Ina vyumba vitatu vya kulala, sebure, jiko. kodi shs 600,000 kwa mwezi. ruksa kulipa kodi ya miezi sita. Kwa maelezo zaidi piga simu 0717114409
Hello Wadau,
Nauza Subaru Forester 1998, Turbo, Ina wiki mbili tu imelipiwa kila kitu bado insuarance tu ina plate number na siti za STI naambatanisha na picha bei mil 12 but it can be negotiated...
Mimi ni mgeni hapa arusha mjini nimefikia nyumba ya kulala wageni hapa kaloleni natafuta chumba cha kupanga.
1.kiwe katikati ya mji ili kunirahisishia kazi zangu.
2.kiwe na usalama wa kutosha...
Shamba hili lina ukubwa wa hekari tano, pia lina faa kwa ujenzi na barabara inafika vizuri. Bei yake ni 20,000,000/-.tu za kitanzania.
Mawasiliano 0719646407,
0713802507.
Wapendwa nauza laptops aina ya Dell Inspiron 4150 zipo chache ndio zimeshuka kutoka Marekani hivi karibuni, zimetumika lakini ziko katika hali nzuri kabisa ,zinauzwa kila moja Tsh 550,000.
Kwa...
Wandugu wa JF,
Leo tarehe 02/06/2011 zikiwa zimebaki siku takribani tano kuanza kusoma kwa bajeti ya 2011/2012; nimeamua kwa hiari yangu mwenyewe billa kushawishiwa na mtu yeyote yule, huku...
Jamani nauliza naweza kupata wapi HDMI cable yaani kama kuna duka,je lipo sehemu gani,na kama kuna mtu anauza,ningependa kama inawezekana kujua na bei yake,
Natanguliza shukrani
Hello,
Nipo Dodoma, natafuta laptop yenye sifa hizi:-
1. RAM 1GB
2. HDD kuanzia 120GB nakuendelea.
3. Os ikiwa na visita nitafurahi ila hata ni xp hamna shida.
4. Iwe na condtion nzuri iwe...
Idhaa ya kiswahili ya RFI KIswahili inatarajia kuadhimisha mwaka mmpja tokea kuanzishwa kwake , ikiwa imekita mizizi yake jijini Dar es salaam Nchini Tanzania mnamo 5July.
Ili kusikiliza...
Nauza daladala Toyota DCM lina ruti ya Tabata - Posta. Linatembea, limefungwa tairi mpya na liko kwenye hali nzuri (Engine+Body+Rangi+Seat Cover). Bei 25m (maelewano yako). Mawasiliano ni 0773...
Toyota estima inauzwa na autorec dola 1780 au shligi 2,848,000 iko japan. Hivi garama ni pamoja na usafiri wa kuileta huku tanzania au? Harafu nisaidieni mchanganuo wa kodi zetu wa kuingiza gari...