ndugu umenikatisha , sasa na mie nilikuwa naitafuta hiyohiyo, sas za kiume zipi?we mwanamke au mwanaume, nasikia hzi ni za kike
<br />We Mwanamke au mwanaume, nasikia hzi ni za kike
Kama kuna mtu amewahi kuagiza gari toka beforward, naomba aniambie kama hawa jamaa ni genuine kwenye biashara hii. Maana naogopa kuibiwa tena kwenye hii industry ya online business. Binafsi nataka kuagiza tena gari, ila naomba mnishauri kama nikiagiza toka kwa hawa Beforward hawataniingiza tena mkenge.
Naomba ushauri wenu!!!!!
<br />Hahahaa! mkuu anaambiwa gari ya kike anang'aka; je ukiambiwa babywalker! joking maan
Lkini hata mi nimesikia NOAH ni za kike kwa hiyo nimemwachia wife moja kwa mojaWe Mwanamke au mwanaume, nasikia hzi ni za kike
Mimi nimeiingiza gari mbili mwezi wa saba kupitia beforward nakuhakikishia usalama jamaa wako smart hatariKama kuna mtu amewahi kuagiza gari toka beforward, naomba aniambie kama hawa jamaa ni genuine kwenye biashara hii. Maana naogopa kuibiwa tena kwenye hii industry ya online business. Binafsi nataka kuagiza tena gari, ila naomba mnishauri kama nikiagiza toka kwa hawa Beforward hawataniingiza tena mkenge.
Naomba ushauri wenu!!!!!
<br />Kama kuna mtu amewahi kuagiza gari toka beforward, naomba aniambie kama hawa jamaa ni genuine kwenye biashara hii. Maana naogopa kuibiwa tena kwenye hii industry ya online business. Binafsi nataka kuagiza tena gari, ila naomba mnishauri kama nikiagiza toka kwa hawa Beforward hawataniingiza tena mkenge. <br />
<br />
Naomba ushauri wenu!!!!!