Ndio nyumba inauzwa m125 ipo dar, kigogo mburahati. Mazungumzo yapo kigogo kwa muhitaji kweli. Nyumba inatazama barabara ya lami kabisa. Nyumba haina migogoro yoyote. Call 0783 708437.
Wakuu habari zenu? Nimeamua kuwaletea hii taarifa njema, hasa kwa wale wenye tamanio la kuishi Tabora (Unyamwezini) kwa watoto wa kiarabu.
Kiufupi ni kwamba nyumba ina sehemu mbili...
Nyumba kubwa...
Habari wakuu,
Nyumba inauzwa, ina, vyumba 6 na uwanja robo hekta,
Ipo karibu na chuo cha Hombolo ambacho kinawanafunzi elfu 8+
Pia unaweza kuifanya hostel kwani imezungukwa na Hostels pia.
Price...
Huu Uzi wa kubadilishana contacts za kazi / baishara, mfano ww ni muuza duka unahitaji msaidizi wa kukuza, au una biashara flani unahitaji supplier ,
Taja aina ya mtu unayemuhitaji, wahitaji...
Mwenye shida na hivyo vitabu ninavyo softcopy
Pia nina vitabu vingine vingi pamoja na pepa mbalimbali kuanzia F1 paka F6
Pia nafundisha masomo ya ziada kwa wenye uhitaji
1.Physics na...
Najua watu wengi wanaopenda na kujali ngozi zao huwa wanatafuta bidhaa nzuri za kuleta
matokeo mazuri
Hapa sasa Umefika, tuna bidhaa nzuri kutoka brands kubwa (Nivea,Dove,Ordinary,Boots, n.k)...
Habari, kutokana na uwepo wa joto katika mazingira yetu ya nyumbani na maofisini
kampuni ya OKEMI technical services imekuletea OFA KUBWA yaani punguzo la bei kwa 30% za AC na kufunga AC kwa...
Ndio,
Nauza Toyota Spacio namba EBC, imetumika kidogo sana inatakiwa m14 tu.
Gari ya muhindi (haina safari) ipo Posta Dar.
Mawasiliano: Call 0783 708437.
Habarini wadau wakubwa huku JF, km unakreti tupu za pepsi nahitaji kuzinunua ikiwa unaziuza au unajua mtu anaziuza. Kwa maeneo yote ya Dar es Salaam km unazo tuwasiliane tufanye biashara wadau...
Wakuu habari zenu,
Mwenye uhitaj wa asali mbichi ya nyuki wakubwa mimi ninauza.
Nipo Morogoro.
Nina asali katika madumu ya ujazo wa lita 20 na nina madumu yenye asali yapatayo 50.
Kwa yeyote...
Habari members. Za kwenu. Naomba kwa anaejua kuzipata jade plants kwa jumla yaani kilo moja na kuendelea naomba nisaidie connection. Na shida na majani ya jade plant. Najua kuna mti wake ila...
CHUMBA, SEBULE PAMOJA NA CHOO CHA NDANI KINAPANGISHWA
Chumba kikubwa ambacho kina Choo ndani pamoja na sebule yake kinapangishwa.
Kinapatikana Mbezi Mwisho karibu na stendi ya Magufuli, maeneo...
Kampuni ya Simu ya Tecno yazindua rasmi promosheni ya kufunga mwaka kwenye makao makuu yao Jijini Dar es Salaam wakiwa na balozi Kibwana Ally Shomari.
Akizungumza wakati wa uzinduzi huo Meneja...
Nauza [emoji3053]Sandwich Machine kampuni ya Von.
Ni mpya kabisa bei ni tsh 35,000 nipo Dar es salaam Mawasiliano yangu ni 0657438581. Karibuni!
Nimejaribu ku upload picha hapa naona zinagoma...