Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Ist imepata ajali inauzwa Iko Goba , engine nzima inafaa Kwa repair au spare. Mawasiliano Piga 0711295716
0 Reactions
8 Replies
1K Views
rejea na kichwa cha habari hapo juu naomba mwenye details ya advert rate kwa radio zilizopo mkoa wa dodoma
1 Reactions
0 Replies
408 Views
Ndio nyumba inauzwa m125 ipo dar, kigogo mburahati. Mazungumzo yapo kigogo kwa muhitaji kweli. Nyumba inatazama barabara ya lami kabisa. Nyumba haina migogoro yoyote. Call 0783 708437.
0 Reactions
9 Replies
915 Views
Wakuu habari zenu? Nimeamua kuwaletea hii taarifa njema, hasa kwa wale wenye tamanio la kuishi Tabora (Unyamwezini) kwa watoto wa kiarabu. Kiufupi ni kwamba nyumba ina sehemu mbili... Nyumba kubwa...
4 Reactions
18 Replies
1K Views
Habari wakuu, Nyumba inauzwa, ina, vyumba 6 na uwanja robo hekta, Ipo karibu na chuo cha Hombolo ambacho kinawanafunzi elfu 8+ Pia unaweza kuifanya hostel kwani imezungukwa na Hostels pia. Price...
2 Reactions
3 Replies
638 Views
Huu Uzi wa kubadilishana contacts za kazi / baishara, mfano ww ni muuza duka unahitaji msaidizi wa kukuza, au una biashara flani unahitaji supplier , Taja aina ya mtu unayemuhitaji, wahitaji...
3 Reactions
2 Replies
392 Views
Mwenye shida na hivyo vitabu ninavyo softcopy Pia nina vitabu vingine vingi pamoja na pepa mbalimbali kuanzia F1 paka F6 Pia nafundisha masomo ya ziada kwa wenye uhitaji 1.Physics na...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Samahani naombeni kwa wale ambao wanajua mahali naweza wapata hawa agent mnielekeze au mawasiliano yao nahitaji please
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Najua watu wengi wanaopenda na kujali ngozi zao huwa wanatafuta bidhaa nzuri za kuleta matokeo mazuri Hapa sasa Umefika, tuna bidhaa nzuri kutoka brands kubwa (Nivea,Dove,Ordinary,Boots, n.k)...
4 Reactions
46 Replies
7K Views
Habari, kutokana na uwepo wa joto katika mazingira yetu ya nyumbani na maofisini kampuni ya OKEMI technical services imekuletea OFA KUBWA yaani punguzo la bei kwa 30% za AC na kufunga AC kwa...
0 Reactions
4 Replies
918 Views
Ndio, Nauza Toyota Spacio namba EBC, imetumika kidogo sana inatakiwa m14 tu. Gari ya muhindi (haina safari) ipo Posta Dar. Mawasiliano: Call 0783 708437.
0 Reactions
6 Replies
989 Views
Habarini wadau wakubwa huku JF, km unakreti tupu za pepsi nahitaji kuzinunua ikiwa unaziuza au unajua mtu anaziuza. Kwa maeneo yote ya Dar es Salaam km unazo tuwasiliane tufanye biashara wadau...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Tunauza vitoto vya nguruwe vya miez miwili Mahali n Arusha Tengeru
5 Reactions
33 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu, Mwenye uhitaj wa asali mbichi ya nyuki wakubwa mimi ninauza. Nipo Morogoro. Nina asali katika madumu ya ujazo wa lita 20 na nina madumu yenye asali yapatayo 50. Kwa yeyote...
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Habari members. Za kwenu. Naomba kwa anaejua kuzipata jade plants kwa jumla yaani kilo moja na kuendelea naomba nisaidie connection. Na shida na majani ya jade plant. Najua kuna mti wake ila...
0 Reactions
2 Replies
559 Views
Size 5*6 Bei 140000
0 Reactions
10 Replies
829 Views
CHUMBA, SEBULE PAMOJA NA CHOO CHA NDANI KINAPANGISHWA Chumba kikubwa ambacho kina Choo ndani pamoja na sebule yake kinapangishwa. Kinapatikana Mbezi Mwisho karibu na stendi ya Magufuli, maeneo...
0 Reactions
0 Replies
935 Views
Kampuni ya Simu ya Tecno yazindua rasmi promosheni ya kufunga mwaka kwenye makao makuu yao Jijini Dar es Salaam wakiwa na balozi Kibwana Ally Shomari. Akizungumza wakati wa uzinduzi huo Meneja...
0 Reactions
5 Replies
996 Views
Nauza [emoji3053]Sandwich Machine kampuni ya Von. Ni mpya kabisa bei ni tsh 35,000 nipo Dar es salaam Mawasiliano yangu ni 0657438581. Karibuni! Nimejaribu ku upload picha hapa naona zinagoma...
0 Reactions
0 Replies
567 Views
Vifaa
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…