Mtawangu2 Member Feb 17, 2023 10 20 Mar 18, 2023 #1 Sasa unaweza kupata Nyumba za kupanga, Apartments, Frames na Viwanja katika maeneo yote ya Makongo juu. Nyumba zenye hadhi tofauti na Bei tofauti. Wasiliana nami kwa 0743941142.
Sasa unaweza kupata Nyumba za kupanga, Apartments, Frames na Viwanja katika maeneo yote ya Makongo juu. Nyumba zenye hadhi tofauti na Bei tofauti. Wasiliana nami kwa 0743941142.
Dormant Account JF-Expert Member Apr 5, 2022 11,418 32,516 Mar 18, 2023 #3 Siyo kule makongo kwenye vumbi
Mtawangu2 Member Feb 17, 2023 10 20 Mar 18, 2023 Thread starter #4 Carrasco putin said: Siyo kule makongo kwenye vumbi Click to expand... Makongo ukifika saa hii ni Toronto.
Carrasco putin said: Siyo kule makongo kwenye vumbi Click to expand... Makongo ukifika saa hii ni Toronto.
Masanja JF-Expert Member Aug 1, 2007 4,820 8,886 Mar 18, 2023 #5 Mtawangu2 said: Makongo ukifika saa hii ni Toronto. Click to expand... Hahaha 🤣
Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 70,985 94,002 Mar 18, 2023 #6 Carrasco putin said: Siyo kule makongo kwenye vumbi Click to expand... Makongo juu ina lami siku hizi...
Carrasco putin said: Siyo kule makongo kwenye vumbi Click to expand... Makongo juu ina lami siku hizi...
sakasaka JF-Expert Member Feb 20, 2012 239 312 Mar 20, 2023 #7 Oya nitafutie kiwanja basi kwanzia mitaa ya makongo; mti pesa; lastanza; na njia ya makongo kwenda goba centre
Oya nitafutie kiwanja basi kwanzia mitaa ya makongo; mti pesa; lastanza; na njia ya makongo kwenda goba centre
Mtawangu2 Member Feb 17, 2023 10 20 May 11, 2023 Thread starter #8 sakasaka said: Oya nitafutie kiwanja basi kwanzia mitaa ya makongo; mti pesa; lastanza; na njia ya makongo kwenda goba centre Click to expand... Offer yako mkuu??
sakasaka said: Oya nitafutie kiwanja basi kwanzia mitaa ya makongo; mti pesa; lastanza; na njia ya makongo kwenda goba centre Click to expand... Offer yako mkuu??
Mtawangu2 Member Feb 17, 2023 10 20 May 21, 2023 Thread starter #10 Rwakalela said: Kwan makongo viwanj bei gan Click to expand... Inategemea na Ukubwa boss wangu....
Mlolongo JF-Expert Member Jul 4, 2019 3,273 5,893 May 21, 2023 #11 Mtawangu2 said: Inategemea na Ukubwa boss wangu.... Click to expand... 20 kwa 20 (sqm 400)
Mtawangu2 Member Feb 17, 2023 10 20 May 21, 2023 Thread starter #12 Mlolongo said: 20 kwa 20 (sqm 400) Click to expand... 50k per square meter....
sakasaka JF-Expert Member Feb 20, 2012 239 312 Jun 3, 2023 #13 Boss nikipata kwanzia 800sqm itakuwa poa zaidi
monopoly inc JF-Expert Member Dec 20, 2016 5,265 11,307 Jun 6, 2023 #14 Makongo bado kuna vumbi? Nilipita last time 2019
Mtawangu2 Member Feb 17, 2023 10 20 Jun 20, 2023 Thread starter #15 sakasaka said: Boss nikipata kwanzia 800sqm itakuwa poa zaidi Click to expand... Zipo mkuu nichek 0743941142
sakasaka said: Boss nikipata kwanzia 800sqm itakuwa poa zaidi Click to expand... Zipo mkuu nichek 0743941142
Mtawangu2 Member Feb 17, 2023 10 20 Jun 20, 2023 Thread starter #16 monopoly inc said: Makongo bado kuna vumbi? Nilipita last time 2019 Click to expand... Ina lami mwanzo mwishooo
monopoly inc said: Makongo bado kuna vumbi? Nilipita last time 2019 Click to expand... Ina lami mwanzo mwishooo
Mtawangu2 Member Feb 17, 2023 10 20 Jun 20, 2023 Thread starter #18 Smart Gang said: Goba viwanja bei gani Click to expand... Inategemea na ukubwa plus goba ipi utakayohitaji mkuu....
Smart Gang said: Goba viwanja bei gani Click to expand... Inategemea na ukubwa plus goba ipi utakayohitaji mkuu....
Smart Gang JF-Expert Member Nov 16, 2022 1,977 3,302 Jun 20, 2023 #19 Mtawangu2 said: Inategemea na ukubwa plus goba ipi utakayohitaji mkuu.... Click to expand... Nakupm
Kaka yake shetani JF-Expert Member Feb 1, 2023 3,595 8,729 Jun 20, 2023 #20 nilipanga makongo juu ila niliishia kulala nyumba niliyotaka kukahama sababu ikifika saa mbili usiku kwenda mbele kama huna usafiri ni shida sana
nilipanga makongo juu ila niliishia kulala nyumba niliyotaka kukahama sababu ikifika saa mbili usiku kwenda mbele kama huna usafiri ni shida sana