Nyumba self contained inapangishwa iko mbezi luis barabara ya mpigi kama km 2 kutoka Morogoro road. ina vyumba vitatu vya kulala (moja ni master) ina fensi ya ukuta, maji ya na kisima cha ltr...
Wana jf anaefahamu namna gan ntaweza kuunganisha internet ya tigo kwenye cm,mana nimejaribu kutuma ujumbe mfupi wa neno WAP na aina ya simu na model kwenda 500 lakin imekataa,msaada tafadhal
Vipo Mbezi Juu, TADEDO. Mita 50 kwa 25 Bei 25 milioni. Mita 47 kwa 30 Bei 25milioni. Mita 40 kwa 25 Bei 18 milioni. 2333 square meters kina Hati Miliki Bei 35mil. Mita 30 kwa 25 Bei 20...
2000 Toyota Opa for sale..
Price: $7,000 (Non negotiable)
Features:
Mileage: 110,000 km
Beautiful Interior and great condition
Everything working good
No Accident
Duty fully paid with...
Ninauza shamba lenye ukubwa wa ekari moja, lipo umbali wa kilometa 25 kutoka ferry. Eneo linaitwa mbutu Mkwajuni.
Bei Tshs. 4000,000 ( Milioni nne). Mmiliki ni mimi mwenyewe, piga namba 0658 517...
Habar za asubuhi.
Nauza furniture. ipo kwenye very good condition. pia na deep freezee moja na fridge ndogo all in good condition.
furniture on sale is kabati,dressing table,dinning table etc...
Shamba lenye ukubwa wa mita 280 urefu na 247 upana linauzwa maeneo ya kimbiji,nnje kidogo ya mji wa kigamboni. Shamba lina mazao ndani yake kama vile minazi,migomba,michungwa nk. Bei ni...
Ninauza shamba lenye ukubwa wa ekari moja, lipo umbali wa kilometa 25 kutoka ferry. Eneo linaitwa mbutu Mkwajuni.
Bei Tshs. 4000,000 ( Milioni nne). Mmiliki ni mimi mwenyewe, ni pm tufanye...
Habari za kazi wadau, nauza gari yenye details zifuatazo;
Make: Toyota
Model: Corolla
Colour: Pearl
Year of manufacture: 1999
Engine capacity: 1587
Odometer: 109700
Price ni Millioni Nane tu...
Kimara bonyokwa, ukifika kimara mwisho unaaenda barabara kubwa ya kushoto (jakaya road) sasa along jakaya road ndio kuna hivyo viwanja.
kama unahitaji piga namba 0716622185 au 0759311775...
Wakuu habari za mapumziko. Naomba anayejua toyota caldina anisaidie juu ya ulaji wake wa mafuta. ni ya mwaka 1998, odo 183,000, cc 1760, engine 7A - FE. nimejaribu kuperuzi humu jamvini naona...
Habari peoples, Kwa wale wanaofahamu mteja kuna sehemu nzuri kwa biashara hiyo inauzwa, bei tuwasiliane,vibali muhimu vipo kwa biashara,iko sehemu nzuri mjini,barabara ya kenda DAR. contact 0653088887
Habari wana JF
Leo nimewaletea Toyota voxy. Year-2002, ni auto, inatumia petrol, mile age 80,000km, ina automatic engine startup(yani unaweza kuiwasha ukiwa hujapanda uko nje), ipo katika hali...